Natumiwa jf app

Natumiwa jf app

kimbendengu

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
7,865
Reaction score
14,691
Wakuu nimeshindwa kuona mahali ambapo nitaandika thread mpya natumia jf app naomba kuelekezwa wakuu @mkwawa,Miss Natafuta
 
Angalia chini kulia kuna alama kama ya barua click that
 
Nonsense
Unatupigia simu tukubeep eti simu yako huioni.
 
haya msubr huyo wako mkwawa afufuke na mis natafuta akutafte,
 
Back
Top Bottom