Alaaniwe aziniye na ndugu yake....!!! Co maneno yang bal ni maneno ya maandiko matakatifu. Kifup hapo shetan anajidhihilisha yeye na kaz zake kupitia kifumgo icho cha uzinzi na nduguyo. Fanya toba uombe msamaha fanya misa na ibada za kuvunja hii laana na kisha mpokee Yesu Kristo kama Bwana na...
acha upumbavu ata ss tumeangalia iyo habar uache ujinga kabisaa hakuna kilicho fanyika hapo kwa kua muuliza na muulizwa maswali wote hawakua wanasikilizana ukome kuleta ushabiki wako apa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.