Habarini za kazi wakuu,
Ni hivi kuna baamedi mmoja hivi nilimtokea siku za hivi karibuni na mambo ikatiki nikamgegeda siku ileile na mara nyingi zaidi huwa anapenda niende kwake kwani anadai hana mpenzi mwingine kabisa zaidi yangu na ikumbukwe tayari ana mtoto mmoja.
Sasa tatizo nikimnunulia hata vinywaji hataki nikigegeda nikimpa hata za sabuni hataki yaani kazi yake amenifanya mimi kama sexy machine tu. Anataka nimpande kila siku yeye ndo anihonge vinywaji na hela huku akidai ananipenda sana. Imeshakuwa shida sasa kulala saa 9 kuamka saa moja kwenda job na uchovu mwingi halafu yeye anadai eti ananipenda.
Ebu niambieni wakuu manake nisipoenda kwake kesho ni ugomvi hadi baa nzima washajua nagongaga ananipenda au ana kijidudu kinamuwashaga anataka niaribia tu kazi.