Mwenyezi Mungu atangulie. Amani ya Bwana iwe nanyi, na rehema za Allah ziwe juu yenu nyote.
Katika mahojiano ya moja kwa moja usiku wa leo, aliyekuwa mbunge na mwanasiasa machachari, Mhe. Humphrey Polepole, alipokea swali kutoka kwa mmoja wa Watanzania waishio nje ya nchi (diaspora). Swali hilo...
Kwa jina la Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema, mwingi wa fadhila.
Amani ya Bwana iwe pamoja nanyi wapendwa katika Kristo,
Assalaam Aleykum Warahmatullah Wabarakatuh kwa ndugu zetu wa Kiislamu.
Katika kipindi hiki cha sintofahamu ya kisiasa na changamoto za kijamii, ni muhimu sana kusikiliza sauti...
Luaga Mpina: Mwanasiasa Mwenye Maneno Makali Lakini Bila Mkakati Madhubuti wa Kuleta Mageuzi
Luaga Mpina, aliyewahi kuwa mbunge na Waziri wa Kilimo na Mifugo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameibuka tena katika medani ya siasa kwa namna isiyo tarajiwa. Baada ya jina lake kutopitishwa na CCM...
Jakaya Mrisho Kikwete, rais wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, licha ya kung’atuka madarakani mwaka 2015, anaendelea kuacha alama kubwa zisizoonekana moja kwa moja katika mfumo wa kisiasa, kiuchumi na kiusalama wa nchi. Kupitia mtandao wake wa wafanyabiashara wakuu kama Rostam...
Ukisoma hii tweet utagundua Kenya bado Ina watu walio kosa maarifa. Uganda ujenzi unafanywa na YarpMerkez tena kwa kutumia mfumo wa design and build. Tunavyo ongea ujenzi wakipande kipya kwenda Burundi kutokea Kigoma umeanza. Nakama tunakopa na kujenga bado ni pesa zetu. Anakopesheka mwenye...
Kwenda shule alafu ukakosa maarifa ni kitu kibaya sana. Izo ni behewa za kubeba mixed cargo. Zina viwango vyake kutokana na ubora wa chuma uliotumika. Izo sio container wagons. Ukiambiwa hii Barabara ya tonne 20 haina maana gari ya tonne 15, 10 au 5 haiwezi pita ili mradi isizidishe. Pia nasio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.