Kwenda shule alafu ukakosa maarifa ni kitu kibaya sana. Izo ni behewa za kubeba mixed cargo. Zina viwango vyake kutokana na ubora wa chuma uliotumika. Izo sio container wagons. Ukiambiwa hii Barabara ya tonne 20 haina maana gari ya tonne 15, 10 au 5 haiwezi pita ili mradi isizidishe. Pia nasio kila mzigo utakuwa wa tonne 35 tonne. Na ata container wagons zitakazoletwa zitakuwa tonne axle tofauti tofauti labda 20 ni tonne 20 nyingine 20 tonne 25 nyingine 50 tonne 30 na kuendelea. Tatizo lenu wa Kenya mlienda shule kukalili sio kuelewa. Ata semi trucks uziidiana uwezo wa ubebaji mzigo pamoja na kuwa zinaweza kuwa zinatumia Barabara Moja.Dream/ Ndoto 👇👇👇
View attachment 3271705
Uhalisia/ Reality 👇👇👇
View attachment 3271706
View attachment 3271707
View attachment 3271708
Ukisoma hii tweet utagundua Kenya bado Ina watu walio kosa maarifa. Uganda ujenzi unafanywa na YarpMerkez tena kwa kutumia mfumo wa design and build. Tunavyo ongea ujenzi wakipande kipya kwenda Burundi kutokea Kigoma umeanza. Nakama tunakopa na kujenga bado ni pesa zetu. Anakopesheka mwenye mali. Ili reli ifanye angalau faida ilikuwa lazima ifike Dodoma ndo maana ichokipande kilisubiliwa kiishe na ujenzi unaendelea.
We nedelea kujifurahisha na taarifa za kutunga.mara nyingi sana,,, huwa wanajitahidi sana kuficha hadi kuleta wanajeshi kutishia watu. atakayeoneka ameshika simu tu, yupo hatarini kuliwa shaba.
risiti ninazo nyingi sana! usije tu ukakimbia uzi kama mwenzako Kosugi 🤣
View attachment 3271395
umeongea maneno mengi tena kwa uchungu 😂😂😂!Kwenda shule alafu ukakosa maarifa ni kitu kibaya sana. Izo ni behewa za kubeba mixed cargo. Zina viwango vyake kutokana na ubora wa chuma uliotumika. Izo sio container wagons. Ukiambiwa hii Barabara ya tonne 20 haina maana gari ya tonne 15, 10 au 5 haiwezi pita ili mradi isizidishe. Pia nasio kila mzigo utakuwa wa tonne 35 tonne. Na ata container wagons zitakazoletwa zitakuwa tonne axle tofauti tofauti labda 20 ni tonne 20 nyingine 20 tonne 25 nyingine 50 tonne 30 na kuendelea. Tatizo lenu wa Kenya mlienda shule kukalili sio kuelewa. Ata semi trucks uziidiana uwezo wa ubebaji mzigo pamoja na kuwa zinaweza kuwa zinatumia Barabara Moja.
unaanzaje kujenga Kigoma wakati Lots 3,4 na 5 imeshindikana?Tunavyo ongea ujenzi wakipande kipya kwenda Burundi kutokea Kigoma umeanza.
Hivi unajua kuwa unapoteza muda wako?😁noma sana.... 👇
View attachment 3272783
😁😁😁Hivi unajua kuwa unapoteza muda wako?😁
Hainiumi hata kidogo. Wewe endelea tu na hako kamchezo kako😁😁😁😁
inakuuma na nn?