Akawasaidie wananchi wa jimbo lake mambo ya chama baadae pia kuvaa skafu muda wote sio kwamba yeye ni mzalendo namba moja hapa Tanzania. Na mshauri aache.
Kutokana na uharibifu wa miundombinu serikali ya mkoa ama uongozi wa kampuni uzihamishe hizo ofisi hapo jangwani. Ni aibu kubwa kwa serikali na taifa letu, kama ni uzembe ulishafanyika, na hii wapembunzi wa mradi walitanguliza rushwa ktk serikali ilo pita. Miaka mingi inajulikana kuwa eneo hilo...
Hivi sasa ile mizizi ya umoja ambayo Baba wa Taifa ali isimika inapotea, kwani kwa kiasi fulani imasababishwa na kule kujidai, kujua kwingi kwa mambo ambayo hayana tija kwa jamii yetu ya kitanzania.
Wasomi wengi ambao taifa kwa namna moja au nyingine walisomeshwa kwa kodi za wananchi lakini...
Ubabe ni huu watu watii sheria za nchi nyingine tulizojitungia wenyewe. Angalia amri iliyopo pale Makongo jeshini Tegeta road bustani unavyopendeza au TCRA na kidogo kukaribia Mlimani Vitu. Watu wapite kwenye pundamilia kwa sheria za barabarani.
Naomba nikupongeze kwa kazi nzuri na yenye mafanikio makubwa katika Mkoa wetu unajituma sana. Na taka nikuambie wakati fulani ili mambo yaende vyema ubabe ni muhimu na ukiwa ndani ya haki. Ombi langu kwako ni hili ili kuufanya mji wetu upendeze sauti yko ni muhimu sana. Piga marufuku watu wote...
Banki ya NBC Tanzania ninaomba muondoe kero hii.
Hatuna haja kutumia ATM kuweka hela kwenye akaunti. Nataka na ni maoni ya wateja wengi kwanini hamuendi kwa kasi. Tunataka tuweke hela kwenye akaunti kwa njia ya simu kama benki zingine zilivyookoa muda wateja wake.
Kutuma hela kwenye akaunti...
Ninaomba mtuwezeshe kutuma hela kwenye akaunti kwa njia ya simu na sio kutoa hela kwenye akaunti kwa njia hiyo. Narudia tena kuweka hela kwenye akaunti kwa njia ya simu, kama benki zingine zilivyo okoa muda wateja wake .
Kampuni ya ujenzi ya afriq iliyopewa kazi ya ujenzi wa jengo ktk chuo kikuu eneo la utawala haiwalipi mafundi wa kujenga navibarua ambapo Jumamosi ni siku ya malipo lakini ktk hali ambayo haifai hata kuigwa mkandarasi hafai ninaomba uongozi wa chuo kumchukulia hatua ili kukomesha upuuzi huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.