Maafuriko yaliyokuwa yanatokea miaka ya nyuma kabla ya mradi yalikuwa ni angalizo tosha kabisaKabla hapajajengwa hizo ofisi kwanini hukutoa angalizo?
Nchi imekwama kwa akili ya kudhani wanataaluma ndio kila kitu kwenye kusongesha nchi mbele kimaendeleo.Una level gani ya utaalamu kwenye mambo ya ujenzi? Pendekeza ambapo kwako pangefaa uje na sababu 5 za pendekezo lako.
Kwakweli pale bila kuwa na madigirii unaweza kunusa HARUFU ya TAKRIMA ya kiwango cha STGUmeandika kitu cha msingi Sana. Hapo ndipo watanzania wenzetu tuliowapa nafasi ya kutuongoza wanapofeli
Unaujua mkondo wa bahari? Hapo jangwani ni flood plain wakati wanataka kujenga hayo majengo walitakiwa wasome kwa umakini level ya maji wakati mvua nyingi inaponyeshaKwa namna yoyote ile huyu mtu hakuwa na nia njema , Jangwani kwa miaka kadhaa imefahamika kama mkondo wa Bahari , sasa kwa mtu yeyote mwenye akili timamu ama mwenye nia njema asingeleta ushauri duni wa kiwango kile .
Nasema akamatwe ahojiwe na nina hakika mengi yatafumuka .
Mnapenda kutafuniwa.Una level gani ya utaalamu kwenye mambo ya ujenzi? Pendekeza ambapo kwako pangefaa uje na sababu 5 za pendekezo lako.
Kutokana na uharibifu wa miundombinu serikali ya mkoa ama uongozi wa kampuni uzihamishe hizo ofisi hapo jangwani. Ni aibu kubwa kwa serikali na taifa letu, kama ni uzembe ulishafanyika, na hii wapembunzi wa mradi walitanguliza rushwa ktk serikali ilo pita. Miaka mingi inajulikana kuwa eneo hilo mafuriko hayaishi. Tuwe na akili timamu hatuwezi kuendelea kutumia ofisi kubwa kama hiyo katika eneo hilo. Uongozi wa jiji uchukue hatua haraka kuhamisha ofisi kama ni hasara ya ujenzi tuikubali tu. Meya wa jiji kazi kwako na maamuzi sahihi asante.