BENETH MENGELE
Member
- Sep 16, 2017
- 20
- 8
Kampuni ya ujenzi ya afriq iliyopewa kazi ya ujenzi wa jengo ktk chuo kikuu eneo la utawala haiwalipi mafundi wa kujenga navibarua ambapo Jumamosi ni siku ya malipo lakini ktk hali ambayo haifai hata kuigwa mkandarasi hafai ninaomba uongozi wa chuo kumchukulia hatua ili kukomesha upuuzi huu. Chuo kikuu cha Dar kwa kazi kubwa kama hii muepuke kwa mkandarasi Tapeli au kupita rushwa. Hili ni tatizo kubwa