Dear Readers,
I am one of those who aspire to take a professional course in procurement via Procurement and Supplies Professional and Technicians Board famously known as PSPTB, so i did what anyone with a smartphone and knows how to use it does this days,
Google it, the link i found took me...
Habari wana jukwaa, naomba msaada wa kisheria kuhusu effects ya understated share capital /nominal share katika kustate shareholding in private limited company
Mfano unaweza sema the company share capital is 1 M or 120 M, Je kuna mamlaka itataka kujua kuhusu mtaji huo? Au kutaka kuthibitisha...
Habari zenu wanajukwaa, naomba msaada kwa walimu ama mtu yeyote mwenye uelewa, kuna kijana alimaliza form two miaka mitatu iliyopita na matatizo ya kifamilia yakamfanya ashindwe kuendelea na shule.
Kwa kuwa alikua anasoma shule ya serikali iliyokua mbali na nyumbani gharama zilimzidi na hasa...
Habarini za jioni wakuu, mabibi na mabwana, natumai wote mu wazima baada ya kushereheka na sikukuu ya pasaka.
lengo kuu lilonisukuma kuandika swala hili ni ujuzi wa mambo ambao wanajukwaa mmebarikiwa kuwa nao hasa katika kutoa ushauri wa kina katika maswala ya elimu.
Wakuu mimi ni mwanafunzi...
more money creates more needs,only two ways of dealing with this , either make some more money on your own or cut your expense column.
I in person need more money as we all do, but the sad reality is we do spend alot.
Hali ikiwa tete tunaanza kutumia elfu 10 siku 4, boom akija 10,000...
maliza hadi mwisho ndipo utapata nafasi ya kurudia taarifa muhimu.
Nb. Kuwa makini usikurupuke , hizo ni data ambazo mfumo wa computer inazitumia kujua kama unakopesheka au lah.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.