beneli
Member
- May 1, 2013
- 86
- 7
Habarini za jioni wakuu, mabibi na mabwana, natumai wote mu wazima baada ya kushereheka na sikukuu ya pasaka.
lengo kuu lilonisukuma kuandika swala hili ni ujuzi wa mambo ambao wanajukwaa mmebarikiwa kuwa nao hasa katika kutoa ushauri wa kina katika maswala ya elimu.
Wakuu mimi ni mwanafunzi ninaekaribia kumaliza shahada yangu ya uongozi wa biashara yaani BBA General ambayo hijaegemea upande wowote, natamani kupata nafasi ya kufanya mitihani ya umahiri ama professional exams kama CPA au CPB ama ya bodi ya manunuzi PSPTB.
Wakuu naomba mtu mwenye uelewa mzuri hasa katika CPA na PSPTB , Je mtu kama mimi anaanza level gani ?
Ama ipi njia bora zaidi ya kufuata niweze kufikia lengo la kuwa na professional qualification mapema ?
Naomba msaada wenu wakuu.
lengo kuu lilonisukuma kuandika swala hili ni ujuzi wa mambo ambao wanajukwaa mmebarikiwa kuwa nao hasa katika kutoa ushauri wa kina katika maswala ya elimu.
Wakuu mimi ni mwanafunzi ninaekaribia kumaliza shahada yangu ya uongozi wa biashara yaani BBA General ambayo hijaegemea upande wowote, natamani kupata nafasi ya kufanya mitihani ya umahiri ama professional exams kama CPA au CPB ama ya bodi ya manunuzi PSPTB.
Wakuu naomba mtu mwenye uelewa mzuri hasa katika CPA na PSPTB , Je mtu kama mimi anaanza level gani ?
Ama ipi njia bora zaidi ya kufuata niweze kufikia lengo la kuwa na professional qualification mapema ?
Naomba msaada wenu wakuu.