Ni muda wa serikali kuongeza "boom"

Majanga90

Member
Mar 16, 2014
77
12
Ni muda sasa tangu serikali kupandisha boom kutoka 5000 hadi 7500. Kiasi hiki bado ni kidogo sana kwa maisha ya sasa hasa kutokana na mfumuko wa bei kila kukicha. Kumbuka kiasi hiki ni kwaajili ya meals and accommodation ambayo kiuhalisia hakitoshi kabisa. Mfano tunaosoma DSM vyumba ni bei ghali sana hivyo kupelekea wanafunzi kuishi maisha magumu sana. Ni ombi kwa serikali kulishughulikia sasa kabla hali haijawa mbaya zaidi.
I think they should rise it up to 12,000 per day.
 
more money creates more needs,only two ways of dealing with this , either make some more money on your own or cut your expense column.
I in person need more money as we all do, but the sad reality is we do spend alot.
Hali ikiwa tete tunaanza kutumia elfu 10 siku 4, boom akija 10,000 anakatika.
Tujirekebishe.
 
Boom halipatikani jf. Muwaombe wanamlimani wakutane revolition square wakinukishe. 7500 haikuwa rahic kupatikana
 
more money creates more needs,only two ways of dealing with this , either make some more money on your own or cut your expense column.
I in person need more money as we all do, but the sad reality is we do spend alot.
Hali ikiwa tete tunaanza kutumia elfu 10 siku 4, boom akija 10,000 anakatika.
Tujirekebishe.

Product ya mulugo,huna hoja
 
Boom halipatikani jf. Muwaombe wanamlimani wakutane revolition square wakinukishe. 7500 haikuwa rahic kupatikana

Dah Revo square imekuwa kana uwanja wa makumbusho ckuhisi hawa product ya jeshi waliapishwa kutogoma
 
Mnajua wafanyakazi wengine wanalipwa 120,0000 kwa mwezi tena wanafamilia na wanalipa nauli na kodi ya nyumba? Ni vizuri mnapoomba nyongeza pia mjadili maisha ya jamii nzima wala msiwe wabinafsi. Ni bora ungetaka pesa zilipwe kwa wakati ingesaidia maana wakati mwingine hiyo pesa hamtumii ktk malengo stahiki.
 
Jana Tu STEMMUCO mtwara Wanachuo waliandamana..
 

Attachments

  • 1401437718087.jpg
    1401437718087.jpg
    58 KB · Views: 85
  • 1401437745063.jpg
    1401437745063.jpg
    53.4 KB · Views: 76
more money creates more needs,only two ways of dealing with this , either make some more money on your own or cut your expense column.
I in person need more money as we all do, but the sad reality is we do spend alot.
Hali ikiwa tete tunaanza kutumia elfu 10 siku 4, boom akija 10,000 anakatika.
Tujirekebishe.

hzo solution zako 2.... i hop u msomi, THINK BIG basi mkuu!!
 
more money creates more needs,only two ways of dealing with this , either make some more money on your own or cut your expense column.
I in person need more money as we all do, but the sad reality is we do spend alot.
Hali ikiwa tete tunaanza kutumia elfu 10 siku 4, boom akija 10,000 anakatika.
Tujirekebishe.

hizo solution zako 2 mmhh!!! i hop we ni msomi, THINK BIG basi mkuu.......
 
Serikali haikumbuki yenyew mpaka ikumbushwe kwa mtikisiko wa kutosha.. Demonstrate tu..
 
hapa hakuna wa kumsaidia mwingine zaid ya kutupiana maneno kibao yasio ya mantiki.mtoa mada hii iko poa lkn uku uwez pata suluhu labda ifanyke organization kubwa kwa wanavyuo wote UD wakiongoza.
 
Back
Top Bottom