Recent content by benedict2

  1. benedict2

    Mdude wa CHADEMA amjibu mkuu wa mkoa wa Iringa kwenye twitter yake

    Kwahyo sisi tumsaidie nini huyo mdude
  2. benedict2

    Mnaosema kwamba mke hachunguzwi piteni hapa

    Kabisa hapa wanapita mbali
  3. benedict2

    Mbowe umewaangusha watanzania

    Hapo sasa ndo tuzidi kuwashangaa hawa wanasiasa
  4. benedict2

    Awamu ya Zanzibar kutuletea mgombea urais

    Kama rais wa muungano akitoka zanzibar, vilevile inabidi rais wa zanzibar atokee Tanzania bara
  5. benedict2

    Vipimo vya moyo Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete

    Operation za moyo zipo nyingi. N vyema ukamuona daktari kwanza halafu yeye ndie atakayeona unafaa kufanyiwa operation ipi na baada ya hapo utazijua gharama za operatio husika
  6. benedict2

    Tetesi: Makonda azima muziki element; amkasirisha Omarion

    Da mange kasema[emoji23][emoji23]
  7. benedict2

    Nilistuka kumuona nyoka yuko ndani kwangu, pembeni ya mlango wa kutokea nje!

    Fuga nyau mkuu. Huwa wanasaidia sana kuua nyoka na wadudu wengine wasumbufu km panya
  8. benedict2

    Ni kitu gani cha kijinga usingependa kufanyiwa au kuambiwa wakati ukifanya mapenzi?

    Yaani hata mm huwa linanikera sana hili swali. Sipendi mwanamke asiyejiamini
  9. benedict2

    PICHA: Unaweza usile tena kitimoto.Kuna wafugaji wachafu sana

    [emoji445] [emoji445] [emoji444] Nyama ya nguruwe ninavyoipenda nitakunywa sumu juu yake[emoji444] [emoji444] [emoji445] [emoji445]
  10. benedict2

    Ukweli mchungu kuhusu Lulu: Kanumba anaonewa

    [emoji23] [emoji23] hahaa eti wanaimezea mate Umeua mkuu
  11. benedict2

    Dah! Muacheni Diamond kidogo

    Mbona hata diamond yupo VEVO pia wakuu
  12. benedict2

    NACTE wamemwandikia hivi binti yangu, maana yake nini amekoswa selection?

    Eligible meaning- having the right to do or obtain something; satisfying the appropriate conditions.
Back
Top Bottom