kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,052
- 7,057
Nilikua siamin kwamba hauna akili baada ya kuangalia "video yako" sasa ninaamin!
mbona hamna video akifanya fujo zaidi ya upuuzi wa Mange
fight nightFight night...!!
My real nigga left,
My fake nigga in ryt,
all in all fxxk this niggas
All in all we do this shit.
Paaaa..paa....paaaah..
E'm fxxk this niggas
Ryt shit happens
Learn and on this elements,
19 clubs got element
Since im on elementary,
Fire element, through alpha elements local place we in through elements shut down bow side good musical elements.
Paaa ...kriiii paaa paaah..
My real nigga in left
My fake nigga in ryt.
Hebu nipeni beats ni flow hip hop / trap beats hip hop.
Kama Quavo huncho / migos.
Jana usiku huko Element ambapo msanii Omarion alikua akitumbuiza, Mkuu wa Mkoa wa DSM alikuepo pia na Kutokana na habari zilizosambazwa na Mangekimambi ni kwamba kulitokea na mgogoro kati ya Mkuu wa Mkoa na Msanii huyo wa Marekani, Omarion na kusababisha shughuli io kuisha mapema na msanii huyo kujawa na Jazba. Fuatilia zaidi
Kama hela ipo hata kwako anakuja tu. Mchawi pesaaaIna maan huyu omarion kakosa sehemu za kupiga show ulaya mpaka anafikia kufanya show kiwanja kama Elements?
Huyu jamaa fala sana. Ina maana watu waliokua Element wakaona walikua wanaona mazingaumbwe?- Majungu at best, I was there kwenye Show hakuna wakati wowote RC alikutana na Omarion ambaye alipoingia ailkwenda moja kwa moja jukwaani kuanza ku perform, RC alindoka 30 Minutes kabla Omarion hajamaliza show yake, hata sehemu za kukaa zilikuwa tofauti kabisa, Omarion alipangwa kukaa na Diamond upande wao na RC alipangiwa upande tofauti kabisa,
- Nimeamini ni Taifa la wazushi na ndio maana Rais wa sasa amegoma kabisa kusikiliza mitandao maana inaongozwa na watu wasiojitambua kabisa, Sheria inasema unapopiga muziki wa wazi mkoa wa Dar ni lazima umalize by Saa Sita ili usisumbue wananchi wanapumzika majumbani mwao, Elements huwa wameziba ila siku hiyo walitanua ukumbi na kuwa wazi kama nje ndio maana ilibidi wamalize Saa Sita kama wengine wote,
I mean hata Zamaradi alipoolewa tuliambiwa na RC ndiye chanzo cha Zama kumuacha Ruge, jamani haya ni maajabu ya Dunia ndio maana Tanzania itaendelea kuongozwa na Wazee maana Vijana kazi ni kupigwa vita na Vijana wenzao, tizama Gavana mpya wa BOT ni mzee alitakiwa kuwa kijana mdogo, lakini imagine apewe kijana mdogo makelele ya Mitandao, sad!
le Mutuz
Wewe ni kijana au mzee? Mbona hujapewa cheo chochote hadi sasa kama nawe sio mpiga majungu?- Majungu at best, I was there kwenye Show hakuna wakati wowote RC alikutana na Omarion ambaye alipoingia ailkwenda moja kwa moja jukwaani kuanza ku perform, RC alindoka 30 Minutes kabla Omarion hajamaliza show yake, hata sehemu za kukaa zilikuwa tofauti kabisa, Omarion alipangwa kukaa na Diamond upande wao na RC alipangiwa upande tofauti kabisa,
- Nimeamini ni Taifa la wazushi na ndio maana Rais wa sasa amegoma kabisa kusikiliza mitandao maana inaongozwa na watu wasiojitambua kabisa, Sheria inasema unapopiga muziki wa wazi mkoa wa Dar ni lazima umalize by Saa Sita ili usisumbue wananchi wanapumzika majumbani mwao, Elements huwa wameziba ila siku hiyo walitanua ukumbi na kuwa wazi kama nje ndio maana ilibidi wamalize Saa Sita kama wengine wote,
I mean hata Zamaradi alipoolewa tuliambiwa na RC ndiye chanzo cha Zama kumuacha Ruge, jamani haya ni maajabu ya Dunia ndio maana Tanzania itaendelea kuongozwa na Wazee maana Vijana kazi ni kupigwa vita na Vijana wenzao, tizama Gavana mpya wa BOT ni mzee alitakiwa kuwa kijana mdogo, lakini imagine apewe kijana mdogo makelele ya Mitandao, sad!
le Mutuz
Jane wangu am missing you!Ni kweli,
Nami nilikuwepo
Waooo, me more cwt hatJane wangu am missing you!
Kirohoo tupo pamoja ila kimwili upo na........(malizia basi!)Waooo, me more cwt hat
BehaviouristKirohoo tupo pamoja ila kimwili upo na........(malizia basi!)
Siyo na wanaume wa Dar?Behaviourist
HahahaaahSiyo na wanaume wa Dar?