Recent content by ben.barka

  1. B

    Ukiwa na NMB Yanga World Debit Mastercard na safari yako ya ndege ikaahirishwa NMB watakulipa TZS 19M, Why this today?

    Sisi wateja wa NMB tusio yanga wala simba tunakwepuliwa na NMB. Ukiwa na akaunti hapo utakatwa tozo za kila aina. Kuuliza salio, kutunza akaunti, kutunza kadi ya ATM, kutunza benki mkononi na kadhalika. Halafi kilaa tozo ina VAT. NMB ina makato ambayo hayapo katika benki zingine hapa nchini...
  2. B

    Nini kimesababisha kifo cha Edward Lowasa? Kenya wadai ni saratani, Tanzania wanasema ni ugonjwa wa mapafu, shinikizo la damu, na utumbo kujikunja!

    Hatuambiwi huo ubilionea aliupataje. Aliye na ile ripoti ya Mwakyembe naomba aiweke hapa tuisome na kumuelewa vizuri
  3. B

    Watangazaji wanaosoma magazeti kwa mbwembwe kuchukuliwa hatua

    Pia wazuie TBC na CH 10 kubagua magazeti. Watasoma magazeti ya dola na chama tu afu watatuambia ndo yalyomo magazetini Wanasahau magazeti private kama citizeni na Nipashe
  4. B

    Misri atoa onyo kwa HAMAS wana wiki mbili kupata suluhu la mateka, kabla Israel haijaingia Rafah

    ISRAEL MIJIZI Robbery as a Political Decision – Israeli Army Robs Bank of Palestine in Gaza February 11, 2024 Blog, News Israeli soldiers seized 200 million shekels ($54.29 million) from the Bank of Palestine headquarters in Gaza and the move “was decided at the political level.” While...
  5. B

    Jakaya Kikwete: Lowassa alipopata changamoto na kukaa pembeni, tuliendelea kuwa Marafiki

    Wanahabari msiwe wanafiki. Lowasa alijiuzulu baada ya kashfa ya Richmond wala siyo alistaafu. Huyu siyo waziri mkuu mstaafu kama wanavyotangaza TBC, Ch 10 na ITW
  6. B

    Picha: Rais Samia akutana na Papa huko Vatican

    Alibusu na pete yake?
  7. B

    Je, Mungu analo Jina? Jina lake ni lipi?

    Wahindu wanaabudu miungu zaidi ya milioni 33 In Hinduism it is believed that there are more than 33 million gods and goddesses, it is also found that each family has their own god or goddess that they pray to.
  8. B

    Msafara wa Makonda wapata ajali

    Msafara wa magari 13 STL pamoja na maofisa waandamizi. Posho, mafuta etc Garama kiasi gani? Bila shaka mamilioni. Analipa nani? CCM au kodi zetu? Tunalipia kampeni za chama
  9. B

    Makonda: Wafanyabiashara huichangia CCM kwa kuogopa wasiletewe TRA, TAKUKURU, uhamiaji ama Polisi

    Iweje leo wananchi wasahau Makonda alipoteremsha makontena ya fenicha kimagendo?
  10. B

    Waziri Mkuu Ufaransa amteua aliyekuwa mume wake kuwa Waziri wa Mambo ya Nje

    Kwa hiyo balozi wa Ufaransa hapa bongo akiwa basha na akija na mke wake itakuwaje? Wote wawili wataalikwa Ikulu?
  11. B

    Uturuki kumekucha: Watetezi wa Palestina wavamia kiwanda cha Marekani na kushikilia mateka

    Unexpected’ – NYT Reveals Source of Hamas Weapons January 28, 2024 Blog, News By Palestine Chronicle Staff A significant number of weapons used by the Palestinian Resistance movement Hamas may come from the Israeli army itself, according to a report published on Sunday by the New York Times...
  12. B

    Uturuki kumekucha: Watetezi wa Palestina wavamia kiwanda cha Marekani na kushikilia mateka

    Pressure on Biden mounts as 50 US cities demand ceasefire in Gaza Jan 31, 2024 Approximately 70 resolutions on the war on Gaza have been voted on, with the majority urging for an end to the bombardment. Around 50 cities in the United States have ratified resolutions asking for a ceasefire in...
  13. B

    Makonda amwambia mkurugenzi wilaya ya kakonko mkoa wa kigoma sisafiri na wadaiwa.

    Katiba ya nchi inampa mamlaka katibu mwenezi amuhoji wazir aau DED au DC au RC? Heko Bashe kwa kusema ukweli. Wengine wamefyata
  14. B

    Hizi ndio nchi ambazo Marekani na Israel hawawezi kuthubutu kuingiza pua zao kushambulia kijeshi

    Unexpected’ – NYT Reveals Source of Hamas Weapons January 28, 2024 Blog, News By Palestine Chronicle Staff A significant number of weapons used by the Palestinian Resistance movement Hamas may come from the Israeli army itself, according to a report published on Sunday by the New York Times...
  15. B

    Makonda anaweza fanya kuamka asubuhi Bashe sio waziri wala mbunge

    Kwani katiba inasema vipi? Tuanze hapo
Back
Top Bottom