Makonda amwambia mkurugenzi wilaya ya kakonko mkoa wa kigoma sisafiri na wadaiwa.

RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,615
3,909
Moja ya mwananchi wilaya ya kakonko mkoa wa kigoma alilalamikia mbele ya mwenezi kwamba alijenga shule na baada ya kujenga shule hiyo mkurugenzi WA wilaya hiyo alimpa pesa kiduchu tofauti na mkataba waliokubaliana hivyo angekuwa akienda ofisini kwake na kufukuzwa kama mkimbizi asiyefahamika hivyo baada ya mwananchi huyo kutoa lalamiko hiyo mkurugenzi ndipo alipoanza kusema kwamba hamtambui jambo ambalo limeleta sintofahau kwa kuwa tayari awali alikiri kumfanyia malipo.

Mkurugenzi unawezaje kusema mtu humfahamu huku awali umemlipa ?
Hi nchi tunawatendaji hatari wenye roho mbaya ya dhuluma mtu kama huyo yupo ofisi za umma anahudumia wananchi.
Aidha mwenezi baada ya kubaini mkurugenzi huyo Hana majibu ya kutosha ameacha maagizo fundi huyo alipwe stahiki zake zote na akamwambia asisafiri nae abaki anadhughulikia deni la huyo fundi
Mwenezi amemwambia sisafiri na watu wenye madeni
 
Moja ya mwananchi wilaya ya kakonko mkoa wa kigoma alilalamikia mbele ya mwenezi kwamba alijenga shule na baada ya kujenga shule hiyo mkurugenzi WA wilaya hiyo alimpa pesa kiduchu tofauti na mkataba waliokubaliana hivyo angekuwa akienda ofisini kwake na kufukuzwa kama mkimbizi asiyefahamika hivyo baada ya mwananchi huyo kutoa lalamiko hiyo mkurugenzi ndipo alipoanza kusema kwamba hamtambui jambo ambalo limeleta sintofahau kwa kuwa tayari awali alikiri kumfanyia malipo.

Mkurugenzi unawezaje kusema mtu humfahamu huku awali umemlipa ?
Hi nchi tunawatendaji hatari wenye roho mbaya ya dhuluma mtu kama huyo yupo ofisi za umma anahudumia wananchi.
Aidha mwenezi baada ya kubaini mkurugenzi huyo Hana majibu ya kutosha ameacha maagizo fundi huyo alipwe stahiki zake zote na akamwambia asisafiri nae abaki anadhughulikia deni la huyo fundi
Mwenezi amemwambia sisafiri na watu wenye madeni
Hii nchi ya ajabu sana! Yeye kama nani sasa? Tangu chama chao kizaliwe huu ujinga haujawahi kuonekana.
 
Kwamba huyo kiongozi anaona fahari sana kusafari na Makonda, au akisafiri naye Kuna imprest nzito anapata?
 
Hii nchi ya ajabu sana! Yeye kama nani sasa? Tangu chama chao kizaliwe huu ujinga haujawahi kuonekana.

Katiba ya nchi inampa mamlaka katibu mwenezi amuhoji wazir aau DED au DC au RC?
Heko Bashe kwa kusema ukweli. Wengine wamefyata
Mimi simpendi kabisa huyu Bashite lakini Kwa hii oparesheni yake ya kuwajambisha Wazembe namuunga mkono.

Kimsingi Chama ndio kinaomba ridhaa ya kuunda serikali ( ingawa CCM waliiba uchaguzi)

Kwahiyo kiongozi wa Chama tena wa Taifa anayo mandet maana kwenye uchaguzi watakaohojiwa siyo watendaji bali ni Chama.
 
Moja ya mwananchi wilaya ya kakonko mkoa wa kigoma alilalamikia mbele ya mwenezi kwamba alijenga shule na baada ya kujenga shule hiyo mkurugenzi WA wilaya hiyo alimpa pesa kiduchu tofauti na mkataba waliokubaliana hivyo angekuwa akienda ofisini kwake na kufukuzwa kama mkimbizi asiyefahamika hivyo baada ya mwananchi huyo kutoa lalamiko hiyo mkurugenzi ndipo alipoanza kusema kwamba hamtambui jambo ambalo limeleta sintofahau kwa kuwa tayari awali alikiri kumfanyia malipo.

Mkurugenzi unawezaje kusema mtu humfahamu huku awali umemlipa ?
Hi nchi tunawatendaji hatari wenye roho mbaya ya dhuluma mtu kama huyo yupo ofisi za umma anahudumia wananchi.
Aidha mwenezi baada ya kubaini mkurugenzi huyo Hana majibu ya kutosha ameacha maagizo fundi huyo alipwe stahiki zake zote na akamwambia asisafiri nae abaki anadhughulikia deni la huyo fundi
Mwenezi amemwambia sisafiri na watu wenye madeni
MAIGIZO
 
Moja ya mwananchi wilaya ya kakonko mkoa wa kigoma alilalamikia mbele ya mwenezi kwamba alijenga shule na baada ya kujenga shule hiyo mkurugenzi WA wilaya hiyo alimpa pesa kiduchu tofauti na mkataba waliokubaliana hivyo angekuwa akienda ofisini kwake na kufukuzwa kama mkimbizi asiyefahamika hivyo baada ya mwananchi huyo kutoa lalamiko hiyo mkurugenzi ndipo alipoanza kusema kwamba hamtambui jambo ambalo limeleta sintofahau kwa kuwa tayari awali alikiri kumfanyia malipo.

Mkurugenzi unawezaje kusema mtu humfahamu huku awali umemlipa ?
Hi nchi tunawatendaji hatari wenye roho mbaya ya dhuluma mtu kama huyo yupo ofisi za umma anahudumia wananchi.
Aidha mwenezi baada ya kubaini mkurugenzi huyo Hana majibu ya kutosha ameacha maagizo fundi huyo alipwe stahiki zake zote na akamwambia asisafiri nae abaki anadhughulikia deni la huyo fundi
Mwenezi amemwambia sisafiri na watu wenye madeni
Mkurugenzi huyo alijipachika ofisini?

Tatizo lipo kwa mamlaka ya uteuzi
 
Mimi simpendi kabisa huyu Bashite lakini Kwa hii oparesheni yake ya kuwajambisha Wazembe namuunga mkono.

Kimsingi Chama ndio kinaomba ridhaa ya kuunda serikali ( ingawa CCM waliiba uchaguzi)

Kwahiyo kiongozi wa Chama tena wa Taifa anayo mandet maana kwenye uchaguzi watakaohojiwa siyo watendaji bali ni Chama.
I conquer..!
Makonda anapambana sana japo unaweza kumuona anatumia mwanya huo na yeye 'Kujijenga'.

Tatizo hili chimbuko lake lipo kwenye makuzi ya watoto wetu, hafanyi jambo bila kupigwa mkwara, matokeo yake ndio hayo.
 
Kwani wanaohojiwa na wananchi kwenye kampeni za uchaguzi ni Chama au Serikali?
Wanaoomba ridhaa ya kuunda Serikali ni Chama hivyo wana haki ya kuipa maelekezo hiyo Serikali waliyoiunda.Watakowatakaojibishwa kwenye Uchaguzi ni Chama sio Serikali.
 
Katiba ya nchi inampa mamlaka katibu mwenezi amuhoji wazir aau DED au DC au RC?
Heko Bashe kwa kusema ukweli. Wengine wamefyata
Ukiona mambo haya ujue kuwa serikali imefitinika na nchi yoyote ya namna hii kinachofuatia ni vurugu, kwasabu asilimia kubwa ya hawa watu wanaolalamika ni ccm, sasa baada ya kushindwa pa kukimbilia unadhani watakwenda upinzani, unaambiwa mbwa koko utamfukuzaa ila akifika mwisho wa ukuta akuna njia ya kwenda anageuka kuwa simba, anaanza kukufukuza wewe, Serikali ya CCM inafanya masihara na mifumo na sasa imeanza kuathiri watu mwisho wasiku ili baa litawarudia.
 
Moja ya mwananchi wilaya ya kakonko mkoa wa kigoma alilalamikia mbele ya mwenezi kwamba alijenga shule na baada ya kujenga shule hiyo mkurugenzi WA wilaya hiyo alimpa pesa kiduchu tofauti na mkataba waliokubaliana hivyo angekuwa akienda ofisini kwake na kufukuzwa kama mkimbizi asiyefahamika hivyo baada ya mwananchi huyo kutoa lalamiko hiyo mkurugenzi ndipo alipoanza kusema kwamba hamtambui jambo ambalo limeleta sintofahau kwa kuwa tayari awali alikiri kumfanyia malipo.

Mkurugenzi unawezaje kusema mtu humfahamu huku awali umemlipa ?
Hi nchi tunawatendaji hatari wenye roho mbaya ya dhuluma mtu kama huyo yupo ofisi za umma anahudumia wananchi.
Aidha mwenezi baada ya kubaini mkurugenzi huyo Hana majibu ya kutosha ameacha maagizo fundi huyo alipwe stahiki zake zote na akamwambia asisafiri nae abaki anadhughulikia deni la huyo fundi
Mwenezi amemwambia sisafiri na watu wenye madeni
Yes,
Asie wajibika kiungwana awajibishwe kwa fedheha,
maana ni uzembe ulojaa tamaa ndani yake.

Yaani mkurugenzi anadhani anampa mtu fadhila kumbe ni malipo halali ya jasho la mtu wa bidii 🐒🐒
 
Mimi simpendi kabisa huyu Bashite lakini Kwa hii oparesheni yake ya kuwajambisha Wazembe namuunga mkono.

Kimsingi Chama ndio kinaomba ridhaa ya kuunda serikali ( ingawa CCM waliiba uchaguzi)

Kwahiyo kiongozi wa Chama tena wa Taifa anayo mandet maana kwenye uchaguzi watakaohojiwa siyo watendaji bali ni Chama.
Well said...ndio maana ya Ile kauli tunasema "ukiwatendea mabaya wananchi unatugombanisha na wapiga kura na kukipa chama hard time...ndio kusema chama kikishinda ndio mtu atapata huo uteuzi wa kua DED.
 
Back
Top Bottom