Uko mtaani maybe huna kazi/umekata tamaa/school dropout na unakosa sehemu ya kuanzia. Unaweza fanya haya yatakusaidia
• Tengeneza marafiki wa rika na daraja tofauti. Piga story na watu.
• Tafuta chochote kitakacho kuweka busy.Eg kuchora,kuandika,kucheza mpira,msanii andika nyimbo,kusoma vitabu...