Akuna watu wabaya kama Watanzania,cc ni watu wenye chuki kwenye nafsi zetu,laana za mungu ziwashukie wanaowadhalilisha binaadamu wenzao.ikiwa Cuf ni chama cha Waislam je chama cha makafili ni kipi hapa Tanzania?
C mpenda CCM lkn kulivunja BUNGE LA KATIBA iyo cfikilii kama inaweza kutokea,7bu ccm wanafanya lile wanalotaka viongozi wao na sio wananchi wao,uhalisia upo hivyo@mtazamo wangu
Jaji werema ameongea maneno mazuli xana lkn niko na wax wax na yeye kwa vile na yeye anaingia kule kwa mzee Six kuchukua posho,kama yuko serios kweli ni bora akae nje ya BM NAPITA njia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.