Recent content by bejamin

  1. bejamin

    Mbowe katuudhi, bora turudi CCM

    Kweli kuna mtu anaweza toka peponi akaenda kuzimu mm siamini hilo
  2. bejamin

    Kuna hatari Rais Magufuli akaingia katika mtego wa ufisadi unaomuhusisha yeye mwenyewe

    Wizara yake pia mdio ilikutwa na mkataba wa makandarasi wawili barabara moja na wote wanalipwa
  3. bejamin

    Prof. Baregu: Dhana ya kutumbua majipu ni ya Kienyeji

    Kwakweli nilizani awamu hii ya tano mtaaza japo kufikiri kwa kiwango cha juu kumbe bado mnatumia ubongo wa bata kunywa matope kuoga maji masafi ccm ni shida
  4. bejamin

    Rais Magufuli aombwa ikibidi alivunje bunge

    Kweli vijana wa ccm mna kazi ya uelewa haya uliyoandika kwenye kikao chenu cha maendeleo ndio mmejadili Sifa ya kwanza kuwa mwana ccm lazima uwe bwege
  5. bejamin

    Kutoka TAZARA: Ujenzi wa barabara ya juu (Flyover) wazinduliwa rasmi

    Hilo nalo hamjawapa wakandarasi wawili mmoja wa mfukoni na mwingine mjenzi wa mfukoni kashalipwa full hata kabla kazi haijaanza kudadadeki viongozi wenza mfalme juha
  6. bejamin

    Hatimaye biashara ya Ngono yarejea kama kawaida

    Mabandani vipi nako wamerudi
  7. bejamin

    Fatma Karume: Dk Shein Siyo Rais wa Zanzibar

    Umesema vema maamuzi ya jecha na sio ya wazanzibar
  8. bejamin

    Kwa serikali hii ya Magufuli, Vijana tutaisoma namba

    Magufuli huna haja ya kutukamata twambie kazi zilipo tujisalimishe wenyewe na polisi tuwaache wakawezeshe ccm kuwatawala wa znz ka nguvu
  9. bejamin

    Chama Cha Wananchi CUF Kufutiliwa mbali

    Wakati cuf ikifutwa wewe utakuwa unapanguswa
  10. bejamin

    Watu 4 watiwa ndani baada kuzomea msafara wa Dr. Shein kisiwani Pemba

    Sasa hao polisi wamewaweka ndani kwa sababu gani na shein mwenyewe ni maisha aliyojichagia kuzomewa
  11. bejamin

    Dada yangu kapendeza leo baada ya kurudi salon!

    Anaweka kigogo shingoni kichwa kinaelea
  12. bejamin

    TAKUKURU yaanza kuchunguza jinsi Waziri Lukuvi alivyokataa rushwa ya bilioni 5

    Sasa uchunguzi hapo wa nn na lukuvi anawajua si awataje kesi iende mahakamani lukuvi akatoe ushahidi Wanatafutiana posho uchunguzi na arusha wataenda kukaa wakati kigamboni iko dar
  13. bejamin

    Ni lini Magufuli katangaza hali ya hatari nchini?

    Mtoa mada weka picha uwakate ngebe hao masisiem wanaokomaa kubisha
  14. bejamin

    Sex toys, biashara inayoshamiri kwa kasi

    Wewe ukisikia mwanamke anasema ameshakutana nz za kila aina ndio hizo
Back
Top Bottom