Kwakweli nilizani awamu hii ya tano mtaaza japo kufikiri kwa kiwango cha juu kumbe bado mnatumia ubongo wa bata kunywa matope kuoga maji masafi ccm ni shida
Hilo nalo hamjawapa wakandarasi wawili mmoja wa mfukoni na mwingine mjenzi wa mfukoni kashalipwa full hata kabla kazi haijaanza kudadadeki viongozi wenza mfalme juha
Sasa uchunguzi hapo wa nn na lukuvi anawajua si awataje kesi iende mahakamani lukuvi akatoe ushahidi
Wanatafutiana posho uchunguzi na arusha wataenda kukaa wakati kigamboni iko dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.