Recent content by Beige

  1. Beige

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina upweke mkali - Ambao tayari tumeshaumizwa na mapenzi kwa mwaka 2026, tukutane hapa

    Mbona mapema sana jamani
  2. Beige

    JamiiForums Tanzania Simu za Blackberry za zamani zimerudi tena mwaka 2025. Je, Utanunua?

    Umenikumbusha nilimiliki Blackberry Curve enzi hizo, nlikua nakapenda kweli!
  3. Beige

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    NRNE NRNE NRNE
  4. Beige

    JamiiForums Tanzania Ponjoro ni jina la kibaguzi lakini ubaguzi ameuanza yeye mwenyewe. Hivyo wanaomtetea wamuache apate malipo yake

    Watu mko smart sana. Nilikua sijaelewa kabisa maana ya ponjoro. Sasa nimeelewa maana yake na kwanini ponjoro ameitwa ponjoro. Kumbe ni yeye aliuanza uponjoro 😆
  5. Beige

    JamiiForums Tanzania Baraka kubwa zaidi maishani huwa hazina bei ,lakini ni za thamani isiyoelezeka

    A beautiful reminder 🙏🏽
  6. Beige

    JamiiForums Tanzania Tanzanians vs Kenyans on media: Kenya 3 Tanzania 0

    Na wewe kwa akili yako kama hukuelewa nilichoandika usingedakia kujibu. Read to understand not to just respond. Umenijibu kwa mhemko sana. Hakuna aliyefurahia kitendo walichofanyiwa majirani, mimi sijapenda watanzania wote tulivyoitwa wajinga na matusi mengine mengi. That was my point
  7. Beige

    JamiiForums Tanzania Yafahaumu matunda hatari zaidi Duniani yanayoweza kusababisha kifo

    Tunda lingine hatari ni lile linaloliwa kimasihara 😅
  8. Beige

    JamiiForums Tanzania Tuambie uko wapi na unauza nini?

    Sasa tukinadi biashara hapa tukafikia kwenye swala la malipo tayari my identity is out there! Na mambo yalivyo mengi sasa nyakati hizi👀 Ngoja tutumie tu platform zingine 😔
  9. Beige

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kujisaidia vichakani?

    He he Yani afadhali mabasi ya sikuhizi yana maliwato
  10. Beige

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mdau mkubwa sana wa movies zilizotafsiriwa lakini kuna maDJ wanaharibu sana hizo muvi

    Ilitokea siku moja mtu alikua pembeni yangu anaangalia hizi movie za kutafsriri kwenye hiyo movie mtu mmoja akamwambia mwenzie Fuc* you basi mtafsiri akatafsiri akasema hapo jamaa amemwambia mwenzie wewe ni “kinyago cha mpapure” 🤣🤣 Nilichekaaa sikuamini. Aisee mnaoangalia hizi movie Mungu...
  11. Beige

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi kujisaidia vichakani?

    Si bora ulikua na kamkweche kako, hiyo ni baraka. Mm nlishapata hiyo kadhia natoka Arusha naenda Dar niko na Kilimanjaro nikamuomba dereva asimame niweze kuhara, tena hapo nimembembeleza hata hakua na mpango wa kusimama. Baada sasa ya kusimama, hizo honiii. Jamani unazijua honi za basi kubwa...
  12. Beige

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tundu Lissu atinga Mahakama ya Kisutu kibabe akiwa na begi la vitabu, asema wameyataka wenyewe hivyo watayapata

    Hakunusurika kwa bahati mbaya. Amebeba maumivu mengi sana kwaajili ya watanzania. Mungu ampe kibali
Back
Top Bottom