Watu mko smart sana. Nilikua sijaelewa kabisa maana ya ponjoro. Sasa nimeelewa maana yake na kwanini ponjoro ameitwa ponjoro. Kumbe ni yeye aliuanza uponjoro 😆
Na wewe kwa akili yako kama hukuelewa nilichoandika usingedakia kujibu. Read to understand not to just respond. Umenijibu kwa mhemko sana. Hakuna aliyefurahia kitendo walichofanyiwa majirani, mimi sijapenda watanzania wote tulivyoitwa wajinga na matusi mengine mengi. That was my point
Sasa tukinadi biashara hapa tukafikia kwenye swala la malipo tayari my identity is out there! Na mambo yalivyo mengi sasa nyakati hizi👀 Ngoja tutumie tu platform zingine 😔
Ilitokea siku moja mtu alikua pembeni yangu anaangalia hizi movie za kutafsriri kwenye hiyo movie mtu mmoja akamwambia mwenzie Fuc* you basi mtafsiri akatafsiri akasema hapo jamaa amemwambia mwenzie wewe ni “kinyago cha mpapure” 🤣🤣 Nilichekaaa sikuamini. Aisee mnaoangalia hizi movie Mungu...
Si bora ulikua na kamkweche kako, hiyo ni baraka. Mm nlishapata hiyo kadhia natoka Arusha naenda Dar niko na Kilimanjaro nikamuomba dereva asimame niweze kuhara, tena hapo nimembembeleza hata hakua na mpango wa kusimama. Baada sasa ya kusimama, hizo honiii. Jamani unazijua honi za basi kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.