Je, umewahi kujisaidia vichakani?

Je, umewahi kujisaidia vichakani?

Sanaaaaa ...kuna feelings fulani huwezi zipata kwenye vyoo vya matofali hivi vya kisasa.
sana yaan.
Vya kisasa unaenda choon unajsaidia harakaharaka ili watu wasikushangae tena ukiwa ugenin ama ukweni not comfortable kabxa, ukute choo kipo karibu tu
 
Si bora ulikua na kamkweche kako, hiyo ni baraka. Mm nlishapata hiyo kadhia natoka Arusha naenda Dar niko na Kilimanjaro nikamuomba dereva asimame niweze kuhara, tena hapo nimembembeleza hata hakua na mpango wa kusimama. Baada sasa ya kusimama, hizo honiii. Jamani unazijua honi za basi kubwa ndio unaharisha??? Ikabidi nikatishe. Kurudi kwenye basi tumbo likavurugika upyaaaa bahati nzuri hapo tumeshakaribia shekilango. Ni Mungu tu alinisitiri siku ile aisee.
 
Si bora ulikua na kamkweche kako, hiyo ni baraka. Mm nlishapata hiyo kadhia natoka Arusha naenda Dar niko na Kilimanjaro nikamuomba dereva asimame niweze kuhara, tena hapo nimembembeleza hata hakua na mpango wa kusimama. Baada sasa ya kusimama, hizo honiii. Jamani unazijua honi za basi kubwa ndio unaharisha??? Ikabidi nikatishe. Kurudi kwenye basi tumbo likavurugika upyaaaa bahati nzuri hapo tumeshakaribia shekilango. Ni Mungu tu alinisitiri siku ile aisee.
hahaha duu pole mkuu. Mim niliwah kubanwa mkojo tu bas ndo linatoka ubungo stand.
nilimwomba dreva alikataa kusimama tulipofka pwan hapo hari tete, anadai mpaka tufke moro nijikaze. Kibaya yaid nilikua nimekaa seat ya mbele.
Ase kibofu kilijaa nikawa ka mjamzito najigeuza tu.
Basi lilipofka msamvu stand, asee nilishindwa kuamka kweny seat, niliamka mwa mbinde.
 
hahaha duu pole mkuu. Mim niliwah kubanwa mkojo tu bas ndo linatoka ubungo stand.
nilimwomba dreva alikataa kusimama tulipofka pwan hapo hari tete, anadai mpaka tufke moro nijikaze. Kibaya yaid nilikua nimekaa seat ya mbele.
Ase kibofu kilijaa nikawa ka mjamzito najigeuza tu.
Basi lilipofka msamvu stand, asee nilishindwa kuamka kweny seat, niliamka mwa mbinde.
He he Yani afadhali mabasi ya sikuhizi yana maliwato
 
Mzee wa vichaka unatoa experience yako ya miaka 25 ya kujisaidia vichakani hakika wewe ni mbobevu, salute
Ulikosea sana kuchukua maji kwenda kutawazia.Ulipaswa uchume majanj ndiyo utawazie.Na kumbuka:Unapokuwa umechuchumaa uweke mikono kwenye mashavu kama umepaki bodaboda huku unaangalia angani kwa tafakari kubwa sana.
 
Me juzi juzi tu hapa nilikua nasafiri,tumbo la kuhara likanishika ghafla..nikapaki ka mkweche kangu pembeni,nikachukua maji niliyokua nimeyanunua kwa ajili ya kunywa nikaingia kichakani nikaendesha wee mpaka nikamaliza,ila muda wote niliokua nimechuchumaa nilikua na mawazo ya itakuaje niking'atwa na nyoka?
Vipi na wewe mdau,ushawahi kukutana na hali kama hii?
Tupe kwanza Ile ID maarufu ambayo iko verified ndipo tuenselee na mjadala.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom