Recent content by beatboi

  1. beatboi

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Irene Gakwa na Nathan Hightman. Unsolved murder mystery.

    Hiyo inataka kufanana na Yule jamaa wa kigamboni aliyemuua mke wake na kumchoma na mkaa
  2. beatboi

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiyo Msanii aliyedharaulika zaidi kwenye muziki wa Tanzania? – Kisa cha Rashidi Ziada (KR)

    Alikuwa mstari wa mbele lakini sio founder
  3. beatboi

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiyo Msanii aliyedharaulika zaidi kwenye muziki wa Tanzania? – Kisa cha Rashidi Ziada (KR)

    Hakuna kipaji mule ni kubebwa na janjajanja
  4. beatboi

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuwa Jasusi kwa kujifunza mwenyewe ili ufanikiwe katika mishe zako

    Neno Jasusi amelitoa kwenye muktadha wa kipolisi/jeshi na kulitafutia sehemu nyingine ikiwa na maana ileile. Inawezekana hata wewe ukalitumia kwa jinsi unavyotaka na ikaleta maana iliyokusudiwa. Mf Gwajima Jasusi la mbinguni Messi jasusi la soka, nk.
  5. beatboi

    JamiiForums Tanzania Kesi ilihairishwa ili Lissu apewe option 2. Apewe stahiki zote kukaa gerezani (5B) au awekwe under home arrest kwa Mwaka Mzima, bado ni kizungumkuti

    Sisiem chama kinakufa mikononi mwenu, nchi inateketea mikononi mwenu. Fanyeni jambo kwa ajili yenu na vizazi vyenu kabla hakujaoza na akakimbilia uarabuni
  6. beatboi

    JamiiForums Tanzania Fundi Ujenzi, Plasta

    Kuna namna haupo smart kwa mafundi wako. Anyway usijedondokea kwa madalali
  7. beatboi

    JamiiForums Tanzania Imad Mughniey: Kamanda wa Hezbollah aliyeuliwa akitoka kwa mchepuko

    Shukrani mzee, ukipata muda malizia nahiyo ya Nasrallah
Back
Top Bottom