Recent content by beatboi

  1. beatboi

    JamiiForums Tanzania Fundi Ujenzi, Plasta

    Kuna namna haupo smart kwa mafundi wako. Anyway usijedondokea kwa madalali
  2. beatboi

    JamiiForums Tanzania Imad Mughniey: Kamanda wa Hezbollah aliyeuliwa akitoka kwa mchepuko

    Shukrani mzee, ukipata muda malizia nahiyo ya Nasrallah
  3. beatboi

    JamiiForums Tanzania Jinsi Tamasha la Profesa J lilivyovuruga Ndondi za Kisiasa za Makonda

    Kule angeaibika kama mwenzake chara boy
  4. beatboi

    JamiiForums Tanzania Jinsi Tamasha la Profesa J lilivyovuruga Ndondi za Kisiasa za Makonda

    Alihamia ccm mwaka gani?
  5. beatboi

    JamiiForums Tanzania Nimekua kivutio sana kazini

    Lipia tangazo
  6. beatboi

    JamiiForums Tanzania Kisa cha msanii Y-Dash na uchawi wa Igogo Mwanza

    Yp na Y Dash hii combo ilikuwa ya hatari sana enzi zile, sijui nini kilitokea hapo kati but in all rest in peace YP na Y Dash mungu amfanyie wepesi arudi katika hali yake ya kawaida. Hayo mambo mengine ni nadhalia thu
  7. beatboi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nadhani si vizuri na haipendezi

    aah kumbe tunabishana ujinga 🙏🙏🙏
  8. beatboi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nadhani si vizuri na haipendezi

    Njaa na akili havikai sehemu moja
  9. beatboi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka Mwanume wa kunihudumia Na Mimi Nimpe Penzi, Amani na Heshima

    ukiacha ngono kuna kingine cha kunioffer
  10. beatboi

    JamiiForums Tanzania Kabla ya kulala fanya mambo haya

    Naishi chini ya dora moja, nalala stoo, mlo mmoja, nalala chini ya masaa sita, huo muda wa kufanya yote natoa wapi
  11. beatboi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unapenda uwe na mwanamke yupi kati ya hawa?

    Muhimu kojo tuh hayo mengine sihusiki nayo
  12. beatboi

    JamiiForums Tanzania Kabla ya kulala fanya mambo haya

    Shukrani sana 🙏🙏🙏 Ila wengine sisi tunajiegesha tu kama gari bovu
Back
Top Bottom