Recent content by beatboi

  1. beatboi

    Anahitajika kijana wa Car wash haraka

    Masasi, Malipo yanapangwa btn bosi na mfanyakazi
  2. beatboi

    Anahitajika kijana wa Car wash haraka

    Anahitajika kijana wa Car wash haraka, Mwenye uzoefu na mwaninifu.
  3. beatboi

    Vita mpya yanukia dhidi ya Iran. Ikitokea itakuwa ya mda mrefu au mfupi?

    Wewe ndio bumunda, hujibu hoja unaenda kuokoteza habari za wengine unaleta humu wenye akili na mitazamo kama ya
  4. beatboi

    Cap: Ni kama kimekuwa vazi la laana hapa Tanzania

    Ukimaliza cap usisahau t-shirts na jeans, zinavaliwa sana na watekaji
  5. beatboi

    Shirima ujenzi bora Tanzania asaidiwe kitaalam ana kitu, atafika mbali!

    Mungu amempa mdomo anautumia vizuri ila kazi zake zinalidhisha kiasi
  6. beatboi

    Msaada wa kujikwamua kwa kunipa kazi

    Ingia mtaani huko wanapojenga kutana na mafundi wenzio, acha namba za simu au chukua za bosi mpigie muelekeze ikifika hatua na kupaua na madirishi akupe kazi hiyo utaifanya kwa bei nafuu. Hakikisha kwa siku unapata nyumba zako tano
  7. beatboi

    Ushaaamua kuwa wa moto Mama, acha tena kurudi kwenye baridi

    Bila kusahau amuandalie mazingira Dully awe mrithi twenty thate
  8. beatboi

    PostGE2025 Kwanini mashehe wengi wamekubali kugeuzwa machawa na waimba pambio?

    Hapo kuna combination ya vitu vitatu. Njaa Ujinga (elimu❌) Kujipendekeza
  9. beatboi

    Sisi waislam wenye akili tunaunga mkono tamko la TEC

    Hao ni wahuni wanaojua kusoma kiarabu hakuna masheikh humo
  10. beatboi

    PostGE2025 Kwanini mashehe wengi wamekubali kugeuzwa machawa na waimba pambio?

    Hao ni masheikh njaa tuh hakuna wanachoweza kubadilisha
  11. beatboi

    PostGE2025 Kwanini mashehe wengi wamekubali kugeuzwa machawa na waimba pambio?

    Miaka yote tulikuwa tunaambia Uislamni dini ya haki, juzi tena hawaitaki haki wanataka amani. Muhimu tufatishe maneno ya mwz Mungu yaliyo kwenye Quran tukufu hao wengine wachumia tumbo tuh.
  12. beatboi

    Nimeishi na hali ya kutisha ya akili (kama si mtu halisi) tangu nikiwa na umri wa miaka 8 hadi sasa

    Hilo ni tatizo la saikolojia hutibika kwa kuchukua hatua ndogo ndogo kwa miaka isiyopungua mitano. Nikipata muda nitaelezea kwa upana 🙏
Back
Top Bottom