THE FACT remains, as long as it doesn't affect your personal life.... Just travel...
Tena sisi tulio soma vyuo enzi hizo kabla huja enda home likizo ni lazima usafiri kwenda kwa Babe au mchepuko "you mention it" Kupiga mambo ndio uanze kuwaza nauli ya kwenda home ina toka wapi!?? Arusha...
SAME HERE, ntam txt first time, ata jibu short au long whatever, nta txt tena second time... Atajibu tena, na text tena mara ya 3 na hii kwangu ndio huwa mara ya mwisho kum txt a lady... ( kumbuka mara ya 1,2,3 zote umemuanza wewe kum txt a lady, yeye walaaaa)
So baada ya mara ya 3 ...
1. Any girl who has no interest in you won't call you after a miss call ____ Period!
2. Any girl who is not interested in you won't txt you back if you stop texting her... She will only text you when you text her... (And she will always keep it short) you text her that loooooong beautiful sms...
Am sorry my love I didn't mean to hurt you. Am sorry, okay? Let's forget it and move on. I do love you (wakati huo ukiwa mshika mikono yake yote miwili) na kiss juu baada ya maneno hayo (kiss ya shavu sio lips). Hio ina onyesha how a gentleman you are.
Am a Man na huwa sioni tabu kusema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.