Nimekutafutia bonge la tusi, una bahati nimeosa.bank yenyewe ishajifia hiyo
Una uhakika na unachokiongeaNdo hawa wanatoaga mishahara ya 450,000 take home ??halafu nyodo kibaaaooo kumbe njaa kali tu
Kosa lake lipi boss wangu si mawazo yake pia ebu muaminishe kwamba haijajifia hivi ndo wasomi wanafanyaNimekutafutia bonge la tusi, una bahati nimeosa.