Recent content by bayuon

  1. B

    Mambo VP wakuu

    Kwa anaehitaji tutafutane kupitia no 0712622226 vimetumika
  2. B

    Kijana anahitaji msaada wa kazi!

    Ngoja nimpigie nakuhid ntamsaidia ipo sehemu
  3. B

    Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

    Mtumba ni biashara ya kamali,inatakiwa umakini sana
  4. B

    Naomba kufahamishwa kuhusu soko la mbuzi DSM

    Mbuz saiz ya kati hapa Vingungut unaweza uza 45000
  5. B

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Fungua chips mtaji tosha kabisa huo,mm nilianza na huo mtaji na sasa namshukuru Mungu
  6. B

    Natafuta mtu tushirikiane kibiashara

    Aisee hakuna watu wa baya ktk kushare biashara kama wapemba, muda wowote wanakuangamiza sitosahau walichokifanya zambia
  7. B

    Hivi ni kwangu tuu au pia kwa wote tuliomba kupitia TCU mnaona hivi mki login ?

    Mbona hata Mimi niliandikiwa ivyo na mpk sasa nikiingia nakuta hayo maneno ila nilichofanya nikawa naingia ktk tovuti za vyuo vyote nilivyochagua na nikaliona jina langu udom university....kwa kukusaidia fuata utaratibu kama niliofanya mimi
  8. B

    UDOM ndiyo chuo bora Tanzania

    Poa bro kama utakua na muda nichekia baada kuchaguliwa hapo taratibu gani zinafuata
  9. B

    UDOM ndiyo chuo bora Tanzania

    Hata icho kitanifaa tu,ili mradi nyumba iwe poa tu isiwe na rundo la watu c unajua sie watu wa ilala tulivyo
  10. B

    Ushauri na mawazo kuhusu hili

    Au la nisome hata bachelor of chemistry
  11. B

    Ushauri na mawazo kuhusu hili

    Ndo maana nikakuomba msaada koz gani itanifaa
  12. B

    Ushauri na mawazo kuhusu hili

    Mkuu nisaidie nami nimechaguliwa hapo bache of biology matokeo yangu yalikua yafuatayo..biology B,chemistry B,physics E.Bam C je naweza kuchange hii koz maana naambiwa bio haina mpango hapo Mimi naijua vizuri mnooo
  13. B

    Habari zenu wakuu

    Mm nimechaguliwa udom bachelor of biology lkn nasikia eti iyo koz haina mpango wowote yaani wengi wanaomaliza kusoma hawapat kaz pia field hakuna..naomba tujuzane kama ni kweli nianze mipango ya kuhama mapema iwezekanavyo
  14. B

    UDOM ndiyo chuo bora Tanzania

    Nimechaguliwa hapo bache of biology hivi kupanga chumba nje ya Chuo inaweza kukost sh ngapi
Back
Top Bottom