mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,265
- 44,760
Fuga kuku wa kienyeji.chukua jike 10 dume 2,wafate wataalam wakupe elim zaid.ila wanalipa.onyo usifuge broiler
liko tanga utapata kwa bei nzuri, hata huku bukoba limbwata liko wanaliita shuntamaduh hio limbwata inapatikana wapi
Hiyo pesa we unaona itafuga broiler wangap?Fuga kuku wa kienyeji.chukua jike 10 dume 2,wafate wataalam wakupe elim zaid.ila wanalipa.onyo usifuge broiler
Uza vikorokoro vya wanafunzi wa shule ya msingi kama vile bajia ubuyu wa Zanzibar n.k vitakulipa sana na utakuja hapa kunishukuru..tafuta nafasi kwenye shule ya msingi yenye population kubwa...anza kutafuta nafasi sasa hivi I'll itakapofika January use na nafasi tayari..mtaji wake haufiki laki mojaNaomba kujua kwa mtaji wa laki tano unaweza kufanya biashara gani?
Mkuu nitafute tuongee vizuri hio Biashara naipenda tatizo pakuanzia lkn kupitia we naweza kufanya kituFungua chips mtaji tosha kabisa huo,mm nilianza na huo mtaji na sasa namshukuru Mungu
MKuu wewe kijiwe chako kipo sehem gani? Nataka nikutembelee ili nijifunze kitu nina mpango wa kufungua hiyo biashara mapema mwakani.Fungua chips mtaji tosha kabisa huo,mm nilianza na huo mtaji na sasa namshukuru Mungu
Limbwata.
Ukiweza kujitangaza Uswahilini ni biashara inayolipa sana. Wanawake wananunua sana hizo kwa ajili ya kuwajaza uzezeta mabwana zao
mkuu tuongee inbox kidogoFungua chips mtaji tosha kabisa huo,mm nilianza na huo mtaji na sasa namshukuru Mungu
Fungua chips mtaji tosha kabisa huo,mm nilianza na huo mtaji na sasa namshukuru Mungu[/QUOTE
nimekuPM mkuuFungua chips mtaji tosha kabisa huo,mm nilianza na huo mtaji na sasa namshukuru Mungu
nimekutumia sms mkuuFuga kuku wa kienyeji.chukua jike 10 dume 2,wafate wataalam wakupe elim zaid.ila wanalipa.onyo usifuge broiler
fanya biashara ya consumable goods kama kuuza maya i ya kuku wa kienyeji toka vijijini mtaji wake hautazid lak tatu kwa kuanzia na soko lipo
Mi nakushauri kwanza wewe mwenyewe uwe na wazo la biashara unayotaka kuifanya kwa mtaji wako huo halafu ndo wadau wakushauri kwa kukufanyia analyisis, biashara ni kama imani, biashara unayoipenda utaipigania mpaka itafika pale unapotaka ifike, lakini ukifanya kitu kwa sababu umeshuriwa tu na sio kutoka moyoni unaweza kupata shida kutaka kuiendeleza vyema. Lakini wazo la mtu laweza kukufaa pia kama ni sehemu ya mapendekezo yako.
Huo ni mtazamo wangu tu katika kuchangia wazo la mdau.
asante mkuu kwa ushauri ,,Biashara ninayoipenda kutoka moyoni ni kuuza chips SKU nyingi sana nilikua natafuta mtaji wa kuanzia,,,vp kuhusu wewe unanishauri nini juu ya hiloMi nakushauri kwanza wewe mwenyewe uwe na wazo la biashara unayotaka kuifanya kwa mtaji wako huo halafu ndo wadau wakushauri kwa kukufanyia analyisis, biashara ni kama imani, biashara unayoipenda utaipigania mpaka itafika pale unapotaka ifike, lakini ukifanya kitu kwa sababu umeshuriwa tu na sio kutoka moyoni unaweza kupata shida kutaka kuiendeleza vyema. Lakini wazo la mtu laweza kukufaa pia kama ni sehemu ya mapendekezo yako.
Huo ni mtazamo wangu tu katika kuchangia wazo la mdau.