Anajua peter
Member
- Sep 12, 2016
- 97
- 25
Ucwaze br ww fanya utaratibu wa kutatua tatizo chukua ushaur kwa watu wanaojenga si kubomoa
Mwaka huu Imetokea Na Huyu C Wa Kwanza Kukutana Na Janga Kama Hilo wapo Wengi sana Wamekumbwa Na Issue Kama HiyoHaiwezekan tcu wakakuchagua bachelor ambayo hukuiweka kwenye machaguo yako sio kwel
Mkuu nimekuelewa...leta matokeo yake hapa na program anayotaka kupiga ukiachana na hiyo bsc bios pale udom...nikupe utaratibu wa kubadilisha program kwa hapo chuonisio mimi ambaye kwanza niliyefanya hiyo application ko hata mimi nimeshangaa! sasa ukiniambia natafuta kiki.....kuna vitu vya kiki sio hicho!
Ok..yy alikuwa anataka kusoma program gani pale udomCBG division two ya kumi
biology c,chem d geog c ndio hayo mkuu
Mkuu nisaidie nami nimechaguliwa hapo bache of biology matokeo yangu yalikua yafuatayo..biology B,chemistry B,physics E.Bam C je naweza kuchange hii koz maana naambiwa bio haina mpango hapo Mimi naijua vizuri mnoooMkuu nimekuelewa...leta matokeo yake hapa na program anayotaka kupiga ukiachana na hiyo bsc bios pale udom...nikupe utaratibu wa kubadilisha program kwa hapo chuoni
Ww ulikuwa unataka kusoma nn?Mkuu nisaidie nami nimechaguliwa hapo bache of biology matokeo yangu yalikua yafuatayo..biology B,chemistry B,physics E.Bam C je naweza kuchange hii koz maana naambiwa bio haina mpango hapo Mimi naijua vizuri mnooo
Mkuu mwambie anitafute 0625641036 nimshahuri zaidianaomba angalau wampe Bachellor of science with education au in education
Co kwel may b kma ulikuwa unashare account yako na watuMwaka huu Imetokea Na Huyu C Wa Kwanza Kukutana Na Janga Kama Hilo wapo Wengi sana Wamekumbwa Na Issue Kama Hiyo
Amini Hvyo Labda Kwa Kuwa Hujakutana Nalo Ila Pia Nikupe Mfano Kuna Mtu Aliambiwa hayuko Selected First Round Kaapply 2nd Round Jana Majina Ya ITA yametoka Na Jina Lake Lipo je Wajua???Co kwel may b kma ulikuwa unashare account yako na watu
Itakuwa mpya masikion mwanguAmini Hvyo Labda Kwa Kuwa Hujakutana Nalo Ila Pia Nikupe Mfano Kuna Mtu Aliambiwa hayuko Selected First Round Kaapply 2nd Round Jana Majina Ya ITA yametoka Na Jina Lake Lipo je Wajua???