UDOM ndiyo chuo bora Tanzania

UDOM ndiyo chuo bora Tanzania

Mazingira ya kusomea shida kwa kweli alafu faculties ziko mbali mbali full mazoezi kitu mita 500
 
Nimechaguliwa hapo bache of biology hivi kupanga chumba nje ya Chuo inaweza kukost sh ngapi
 
Mkuu hapo umeongea bonge la fact.....kwa ubola wa lectures na facilities za kujisomea na mazingira UDOM inaongoza Tanzania nzima....udsm unaongoza kwa ukongwe na kutoa watu wengi kwa sababu ilianza zamani tu..
 
Ubora wa chuo cha Dodoma unakwamishwa na udini katika Taifa letu,Kiukweli Udom ni chuo bora lakini si kwa kulinganishwa na vyuo vikongwe nchini,Vipo vyuo ambavyo ukitajiwa lazima uogope tangu hapo nyuma na mpaka leo hii kama vile Mzumbe na SUA ila hivyo vingine tukiacha unafiki vinabebwa na Ukongwe lakini sio ubora wa Taaluma,Mfano mtafute mwanaIT wa Udom umuweke na wa Udsm huyu wa Udsm lazima atafute njia kwa kuwa Udom kitivo cha IT kiko poa sana na ndio maana nguvu nyingi sana inatumika kukishusha hiki chuo na imefikia wakati leo hii karibu kabisa na Udom kuna majengo yanaendelea kujengwa kama chuo ili tu kukififisha chuo hiki cha Udom(karibu na CCM convection kuna majengo yanajengwa ni chuo chini ya Ukristo).
Lakini pia Chuo kikuu cha Dodoma huenda kikawa ni Chuo pekee kilichonyimwa fursa ya kuwa na international university partners,chuo hiki hakina hata partner mmoja zaidi ya Microsoft kudhamini kitengo cha IT na ndio jamaa wako fiti mno.
Mimi nafikiri serikali ikiamia dodoma vyuo vikongwe vitatafuta pa kujificha maana maprof.watahitaji kukaa na serikali yao kwa ulinzi na usalama wao.
Ni maono yangu kama MchivuWaFikra.
Mkuu kuhusu udini hapo kama sjakuelewa hebu fafanua vizuri
 
Yaani kadri watu mnavyoisema vibaya UDOM ndo kama mnawapa chachu ya watu kwenda kusoma huko ili kupima mawazo yenu finyu ya kifikra..badala kukaa ni kufurahia vyuo vilivyomo nchini kwenu mnaanza kuleta ushabiki wa kishabe...sijui mnawafunza nini madogo wanaowaza kusoma elimu ya juu katika nchi yao...kila chuo kina changamoto zake na ieleweke kuwa huwezi kulinganisha UDOM NA UDSM kwani ni vyuo vyenye historia tofauti so ieleweke kwamba kila chuo ni bora ila vinazidiana ubora katika sehemu tofauti tofauti...yaani mm nikiona wasomi kama nyinyi mnapoteza muda kubishana ubishi usiokuwa na faida naona kama vile watu wasiojitambua vileee....
 
Nendeni mkasome kwa bidii mliochaguliwa-haya mengine ni swaga tu za vijana. Kila chuo kina yake mazuri na yake mabaya. Ukijua mapungufu ya chuo chako itakusaidia kujiongeza uwe zao bora la sivyo utashangaa utakapo rudi mtaani.
 
Du open university bonge la chuo hakunaga spoon feeding,ni kuku wa kienyeji,hivy vingine mbwembwe na majina
 
Back
Top Bottom