Huyu kijana anajiweza katika usomaji wa michezo star tv,binafsi napenda navyotamka maneno kwa ufasaha,kujiamini,kuwa easy,matumizi ya lugha ya mwili lakini pia mbwembwe zake..anazichungulia anga za kimataifa katika utangazaji
Anza kujitokeza wewe,kwani wewe ndio kiini cha maovu yote yanayotokea katika jamii aidha kwa kuyashabikia ama kuyafumbia macho ama kumnyooshea tu mtu kidole na kushindwa kureact...........take good example kwa yule mwanafunzi wa tunisia ndo nawe uanzie hapo,usipoweza better uhame jf
kwa mujibu wa idhaa ya kiswahili ya sauti ya ujerumani..sikumbuki tarehe ila ni mwezi wa 3 mwaka 2011 kwenye habari ya saa 7 mchana...HOLLYWOOD ni ya kwanza kwa ubora,mauzo,wingi wa kazi za filamu,umaarufu,ya pili BOLLYWOOD,ya tatu NOLLYWOOD...TOLLYWOOD sina uhakika ni ya ngapi...binafsi...
jamani mi kimsingi namzimia jamaa manake kama ni kiraka ni cha ukweli,huwa sioni makosa makubwa katika program zote hizo....na huu kwa mtazamo wangu ndo utangazaji wa kisasa,kufiti kila sehemu..sio unakariri tu kitu kimoja ikitokea shortage ya wafanyakazi inakula kwenu........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.