Recent content by bayonet

  1. B

    Bernard james star tv sports

    Huyu kijana anajiweza katika usomaji wa michezo star tv,binafsi napenda navyotamka maneno kwa ufasaha,kujiamini,kuwa easy,matumizi ya lugha ya mwili lakini pia mbwembwe zake..anazichungulia anga za kimataifa katika utangazaji
  2. B

    Usilete Logologo sema Una ela ngapi

    uuuuuupsssssssss,naenda kulala nkipona namsaka kwa udi na uvumba
  3. B

    Kumtendea haki punda!

    hahahahaaaaaaa,amataka na mpunda.........
  4. B

    Swali

    hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa,ulimi na macho kodoooooooo,kwisha kazi huyu babu
  5. B

    ipe picha maneno(caption)

    we **** nini nifuate uone unadhani naziogopa hizo crown zako,tena we si ulininyanganya naniliuu
  6. B

    ipe picha maneno(caption)

    amini usiamini,tukio hili nimelishuhudia shinyanga uwanja wa kambarage siku ya jumapili fiesta...
  7. B

    Wenye Moyo jitokezeni basi.....

    Anza kujitokeza wewe,kwani wewe ndio kiini cha maovu yote yanayotokea katika jamii aidha kwa kuyashabikia ama kuyafumbia macho ama kumnyooshea tu mtu kidole na kushindwa kureact...........take good example kwa yule mwanafunzi wa tunisia ndo nawe uanzie hapo,usipoweza better uhame jf
  8. B

    Bhoke na kurudi kwake kutoka BBA

    naskia kuna local channel ya hapa bongo itarusha
  9. B

    Kwa wanaopenda presha ya moyo....!!!

    mama yangu mzazi..haya ni magonjwa au upendeleo?????anko sam umeniua na vicheko
  10. B

    Bollywood and hollywood wapi wakali wa movie!!?

    kwa mujibu wa idhaa ya kiswahili ya sauti ya ujerumani..sikumbuki tarehe ila ni mwezi wa 3 mwaka 2011 kwenye habari ya saa 7 mchana...HOLLYWOOD ni ya kwanza kwa ubora,mauzo,wingi wa kazi za filamu,umaarufu,ya pili BOLLYWOOD,ya tatu NOLLYWOOD...TOLLYWOOD sina uhakika ni ya ngapi...binafsi...
  11. B

    Nani wa kulaumiwa, Mchuzi,TBC,ITV,Star TV

    iliruka ITV bwana......na muwalaumu wahariri sio vyombo vya habari
  12. B

    Laana nyingine ni za kujitakia!

    point...............
  13. B

    Bernard james wa star tv....

    jamani mi kimsingi namzimia jamaa manake kama ni kiraka ni cha ukweli,huwa sioni makosa makubwa katika program zote hizo....na huu kwa mtazamo wangu ndo utangazaji wa kisasa,kufiti kila sehemu..sio unakariri tu kitu kimoja ikitokea shortage ya wafanyakazi inakula kwenu........
  14. B

    Bernard james wa star tv....

    hahahaaaaaaaaaaa,futuhiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Back
Top Bottom