Form four results DIV 3 YA 25 Ponts
CIV =C
HIST =D
GEOG =D
KISW =C
ENG = D
ELIMU/D/KIISLAM =C
ARABIC = D
BIO = D
B/MATH= F
Ajiandae kwa wapi? Ualimu anaweza kuchaguliwa?
Matokeo ya kidato cha nne yametoka ni zaidi ya wiki, lakini kwa wanafunzi zaidi ya 40 wa shule ya NUR ISLAMIC SEMINARY bado matokeo yao hayajafunguliwa wameekewa alama E.
Necta wanasema watoto hawakulipiwa na ili matokeo yafunguliwe kunahitajika malipo, tumefuatilia shule wanasema kulitokea...
Tofauti ya ya maandishi kati ya Mzanzibar na Mtanganganyika ; subaana huwataala = Subhaanahu Wataala
ZANZIBAR HOYEE = ZANZIBAR OYEE
Angeandika Mzazibar angeandika hivo
Usijipe moyo kabisa ni vyema kuangalia kwa undani suala hili , ccm wana njama za aina tofauti kinyume na unavyowaza ni vyema ukaangalia historia ya ccm kwa upande wa Zanzibar ikitokea ishara ya kushindwa kwa aina yo yote ile kuna njama za kila aina ili wakae kwa nguvu madarakani , nahisi kuna...
Wapemba nadhani ndio wako mbele ndio wa waanzilishi wa biashara za kusafiri baadae wakawachukua waking na wachaga
Na ndio wa mwanzo baada ya vyama vingi kuukataa katakata mfumo mbovu uliopo
Na ndio watu pekee wanaovumili madhila ya ccm
Na ndio pekee wenye msimamo pamoja na kubaguliwa Bara...
Samahani mkuu Japan na China kuna TANESCO..
Anyway bora wasipewe adhabu , kwa nini tuanze na hao taasisi nyengine kama maji ,hospitali , elimu nk kuna madudu mengi nao tusiwape adhabu? Au umekua kama kipofu alieona jogoo akasema hajapata kuona mnyama mkubwa kama huyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.