Samahani mkuu Japan na China kuna TANESCO..
Anyway bora wasipewe adhabu , kwa nini tuanze na hao taasisi nyengine kama maji ,hospitali , elimu nk kuna madudu mengi nao tusiwape adhabu? Au umekua kama kipofu alieona jogoo akasema hajapata kuona mnyama mkubwa kama huyo?
Kama nchin japani umeme ulikatika saa moja na dakika ishirin meneja wa Tanesco akajiudhuru. pia nchin china umeme ulikatika masaa 8 meneja wa Tanesco akahukumiwa kunyongwa hadi kufa. je Tanzania unakatika hadi wiki tuwape adhabu gani hawa wahusika?
Kama nchin japani umeme ulikatika saa moja na dakika ishirin meneja wa Tanesco akajiudhuru. pia nchin china umeme ulikatika masaa 8 meneja wa Tanesco akahukumiwa kunyongwa hadi kufa. je Tanzania unakatika hadi wiki tuwape adhabu gani hawa wahusika?
Huku kwetu ni ngumu maana hakuna aliyemsafi au mwenye dhamira dhabiti ya maendeleo ya watu.Kama nchin japani umeme ulikatika saa moja na dakika ishirin meneja wa Tanesco akajiudhuru. pia nchin china umeme ulikatika masaa 8 meneja wa Tanesco akahukumiwa kunyongwa hadi kufa. je Tanzania unakatika hadi wiki tuwape adhabu gani hawa wahusika?
Kama nchin japani umeme ulikatika saa moja na dakika ishirin meneja wa Tanesco akajiudhuru. pia nchin china umeme ulikatika masaa 8 meneja wa Tanesco akahukumiwa kunyongwa hadi kufa. je Tanzania unakatika hadi wiki tuwape adhabu gani hawa wahusika?
Wewe unasema umeme kukatika,karibu huku kwetu tena Darisalamu wilaya ya Kinondoni ambako ndiyo HQ ya TANESCO umeme ikifika jioni saa 12 hauwaki mpaka saa tano usiku,yaani mechi za kombe la dunia zile za saa moja hatuwezi kuziona na zile za saa nne usiku tunaziangalia kuanzia kipindi cha pili.Wewe mshukuru tu Mungu kwa kuwa issue ni kukatika huenda kesho wakarudisha