Umezungumza vema Sana bro!!
Turudi kwenye dini zetu za asili na kipindi hicho majibu yalikuwa yanapatikana tunachinja ,,tunakwenda kuomba katika mti mkubwa,mlima ,mto ,vichaka na mvua zinanyesha ,,vita vinaisha n.k
Afrika turudi kwenye dini zetu tuachane na huu upumbavu wa ukristo na uislamu
Hakuna mwanaume mwenye uwezo wa kumwacha mwanamke sahihi ,must be una shida ,na hata katika reply na uzi wako inaonyesha hivyo,
So badilika una shida mahali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.