Recent content by Bavarian8

  1. Bavarian8

    UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

    TEAM GERMAN,,WE ARE HERE TO CONQUER [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
  2. Bavarian8

    Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

    Kwani ulilazimishwa kuingia ndoani BWASHE? Sikia Kama kweli ulikubali kwa moyo mmoja pambana na huyo dada angu mtazoeana tu ,, Sokoni kugumu Sana mzee
  3. Bavarian8

    Ni wakati sasa Afrika turudi kwenye dini zetu za asili

    Umezungumza vema Sana bro!! Turudi kwenye dini zetu za asili na kipindi hicho majibu yalikuwa yanapatikana tunachinja ,,tunakwenda kuomba katika mti mkubwa,mlima ,mto ,vichaka na mvua zinanyesha ,,vita vinaisha n.k Afrika turudi kwenye dini zetu tuachane na huu upumbavu wa ukristo na uislamu
  4. Bavarian8

    Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu

    Maisha mazuri ni yapi mzee fafanua?
  5. Bavarian8

    Huyu dada simuelewi

    Mjini chuo kikuu Haduja kopa
  6. Bavarian8

    PreGE2025 Godbless Lema anza mazoezi ya jinsi utakavyorudi Canada, ubunge umeota mbawa

    Huu uzi tutaufufua mwezi November 2025 Pumbavu Waheed wee !! Lema ndo atishwe na bashite
  7. Bavarian8

    PreGE2025 Nani kuwa Mgombea Urais CHADEMA 2025?

    KWANI HUWA KUNA UCHAGUZI BWASHEE?
  8. Bavarian8

    Ukristo Marekani umekosa Mwelekeo

    Wewe mwenyezimungu Unamjua?
  9. Bavarian8

    Nahitaji Msaada wa Ushauri kwenye uhusiano wangu

    Hakuna mwanaume mwenye uwezo wa kumwacha mwanamke sahihi ,must be una shida ,na hata katika reply na uzi wako inaonyesha hivyo, So badilika una shida mahali
Back
Top Bottom