Eneo linauzwa lipo Goba njia nne barabara ya kuelekea Madale lina faa sana kwa ajili ya kujenga sheli ya mafuta au Kujenga maduka makubwa.
Eneo lina ukubwa wa sqm 4800 na ndani ya eneo kuna nyumba 1 imejengwa na fremu 2 za biashara
Bei yake ni Tsh 500 mil
Kwa mawasiliano zaidi piga 0656077998
Naona team west mnajitekenya na kucheka wenyewe, Iran ni mziki mnene na huyo israel bila marekani ukiondoa vita vya angani hata jeshi letu tunawakalisha vizuri kabisa, jeshi limejaa mashoga halafu wanajiita taifa teule
Nyumba inauzwa ipo madale mil 70, Kwa Kawawa,
Ipo umbali wa km 1 kutoka barabara lami,
Kiwanja kina Sam 650 na kimeshawekwa bikoni,
Nyumba ina vyumba 3 vya kulala 1 master na public toilet 1, sitting room1, dining room 1 na jiko 1
0656077998
Nyumba ipo umbali wa km 1 kutokea Goba centre, ina kiwanja chenye ukubwa wa sqm 462, nyumba ina vyumba 3 vya kulala, sebule 1, dining jiko stoo na vyoo 2
0656077998
Inauzwa 90mil
Tra sijui wana matatizo gani kuna hizi gari kia Bongo CIF yake ni kati ya 3500-7000$ , ila wao kwenye system wanaonyesha CIF $15,000 na zaidi mpk nimechoka kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa anayehitaji Kiwanja kipo Goba 20x20, kipo sehemu nzuri tambarale, pia kuna barabara inayopita hapo, bei ni Tsh 6mil tu ,
Kwa atakaye hitaji anicheki 0656077998/0625545496
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.