Baada ya kumaliza chuo...nikaenda kujitolea..katika ofisi fulani ya umma..nilipiga kazi kwa uaminifu na kwa kutafuta konekisheni..hivyo ndivyo nilivyofanikiwa.
Hakuna kitu pale..zile ni porojo tu..JPM akili yake inawaza barabara,sgr,nyerere dam..na kuua upinzani na wote wanao mkosoa..kiufupi watumishi waendelee kukamuliwa..na kama alivyosema ataendelea kutumbua ole wao walete malalamiko..hapa kazi tu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.