Wenye elimu juu ya hizi mashine zao za wakala ni bora watujuze
Kama mtu umeweka password mara 1 inawezekanaje miamala iwe mara 3? Au ukishaweka password tu unaweza kufanya miamala unayotaka?
Hongera sana mkuu
Umenipa moyo juu ya hii biashara
Naomba mtupe maelezo kuhusu hizi leseni kwa anejua
Mwaka 2016 wakati nafatilia habar za madini nilijua kwamba leseni zinatolewa kikanda ambayo inahusisha mkoa zaid ya mmoja mfano dar,moro,tanga na pwani
Juzi nilienda ofisi za madini dar kutaka...
Habar za mchana.
Naomba kuuliza je mtu anaefanya biashara ya kununua madini kwa wachimbaji wadogo ambao hawana risit au kufanya biashara ya kuchimba madini kisha ukauza kwa madalali au soko kuu je mtu kama huyu analipaje kodi ukiangalia anapochimba au kununua hapati risit?
Shukran
Habar za mchana.
Naomba kuuliza je mtu anaefanya biashara ya kununua madini kwa wachimbaji wadogo ambao hawana risit au kufanya biashara ya kuchimba madini kisha ukauza kwa madalali au soko kuu je mtu kama huyu analipaje kodi ukiangalia anapochimba au kununua hapati risit?
Shukran
Njoo shinyanga ushetu nije
1) Dar wilaya zote
2)Pwani (Mkuranga,Kibaha,Bagamoyo),
3)Tanga jiji,Muheza na Pangani.
4)Morogoro (Manispaa,Kilosa na Mvomero)
5)Dodoma manispaa,Chamwino
idara msingi
0782707090
Natafuta mwalimu wa kuja Ushetu- SHINYANGA mimi nije
1)Dar es salaam
2)BAGAMOYO
3)PWANI
4)TANGA
5)Moro MJINI
Idara: msingi
Phone no: 0656199429 / 0782707090
Mkuu me naomba kujua hivi hii broker license moja inaweza kutumiwa na watu wangapi au kubeba majina mangapi?...maana kuna jamaa ameniambia yeye alichukua moja akasajili jina lake na mke wake na akasema ina chukua hata majina matatu.
Au hiyo ilikuwa ni system ya zaman?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.