Mita 20*20 au miguu kwa miguu. Maana kama mtoa mada amehusisha wataalam wa upimaji ina maana ni mita 20*20 sawa na 400sqm.
Mita 20*20 au miguu kwa miguu. Maana kama mtoa mada amehusisha wataalam wa upimaji ina maana ni mita 20*20 sawa na 400sqm.
Kiwanja cha mita 20*20 ni kikubwa na mtu anaweza kupanda miti. Cha msingi labda iwe kama sheria kupanda miti kadhaa kwenye kila plot. Wastani wa nyumba ya vyumba vitatu vyenye kila kitu ndani huwa around 10*10 hapo panakuwa na eneo ambalo linaweza kutumika kwa parking, garden, na hata kupanda miti.
Hujafanya utafiti mkuu, umeangalia tu. Cha kufanya rudi tena ubebe sample uendenazo lodge ulete majibu mujarabu kama ni makaratasi au ni nyama kweli [emoji3][emoji3][emoji3]
Wanaume mungu anatuona kwa kweli, sisi kula mtaa wa pili iwe kawaida na tusamehewe lakini wake zetu wakikamuliwa tunatoka Moshi maana siyo povu.
Pamoja na yote mi nikigundua mke wangu ameliwa nikajirisha, simtafuti mkamuaji wala nini. Hapo ni kucharaza divorce notice fasta, asije zoea ujinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.