Recent content by Basa Ze-great

  1. Basa Ze-great

    Ujasiri, pia namna ya kumkimbia Tembo ukikutana naye popote pale endapo atakufukuza

    [emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka na hizi comment wallah
  2. Basa Ze-great

    Simba kufuru:Ngoma abugizwa 180m,kusaini mda wowote

    Hayakuhusu [emoji3][emoji3][emoji3]
  3. Basa Ze-great

    Upimaji wa viwanja 20*20 ni uharibifu wa mazingira

    Mita 20*20 au miguu kwa miguu. Maana kama mtoa mada amehusisha wataalam wa upimaji ina maana ni mita 20*20 sawa na 400sqm. Mita 20*20 au miguu kwa miguu. Maana kama mtoa mada amehusisha wataalam wa upimaji ina maana ni mita 20*20 sawa na 400sqm.
  4. Basa Ze-great

    Upimaji wa viwanja 20*20 ni uharibifu wa mazingira

    Kiwanja cha mita 20*20 ni kikubwa na mtu anaweza kupanda miti. Cha msingi labda iwe kama sheria kupanda miti kadhaa kwenye kila plot. Wastani wa nyumba ya vyumba vitatu vyenye kila kitu ndani huwa around 10*10 hapo panakuwa na eneo ambalo linaweza kutumika kwa parking, garden, na hata kupanda miti.
  5. Basa Ze-great

    Nini kimetokea? Now 90% ya wadada wa Dar wamejazika nyuma!

    Hujafanya utafiti mkuu, umeangalia tu. Cha kufanya rudi tena ubebe sample uendenazo lodge ulete majibu mujarabu kama ni makaratasi au ni nyama kweli [emoji3][emoji3][emoji3]
  6. Basa Ze-great

    Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

    [emoji2] [emoji2] [emoji2] daaah
  7. Basa Ze-great

    Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unachekesha kama mazuri hivi
  8. Basa Ze-great

    KITUO cha Mabasi ya Mikoani cha Temeke kuhamishiwa Mkuranga

    Bus terminal itakuwa Vikindu, ila amesema ataomba DART ifike Mkuranga
  9. Basa Ze-great

    Mtu anakuchukulia Mkeo Zaidi ya mara1 na ushahidi Unao.Unaenda kushtaki Polisi?Vijana wa sasa Mkoje?

    Wanaume mungu anatuona kwa kweli, sisi kula mtaa wa pili iwe kawaida na tusamehewe lakini wake zetu wakikamuliwa tunatoka Moshi maana siyo povu. Pamoja na yote mi nikigundua mke wangu ameliwa nikajirisha, simtafuti mkamuaji wala nini. Hapo ni kucharaza divorce notice fasta, asije zoea ujinga
  10. Basa Ze-great

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Eeeeeh hiyo nimeipata
Back
Top Bottom