OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Anytime from nowDefine " muda wowote"
Anytime from nowDefine " muda wowote"
Hilo litegemee kabisa.Na mkifungwa mwakani msije kulalama hapa kuwa kulikuwa na mamluki wa yanga wakati mnayataka wenyewe.
WakiwaYanga hawajachoka wakija simba ni wazee. You are irrationalHivi kweli tunaweza kuifufua simba kwa kununua wachezaji wazee waliochoka kutoka Yanga ?
Mkuu kwani smba walikuwa na sera ya kusajili wavulana tu?Baada ya Ngoma mchukueni Chirwa, Bossou na Mkata umeme! Naona mmebadili sera yenu ya kusajili wavulana! Hamueleweki mnajenga, mnaimarisha au mnabomoa timu!
Mkuu hayo ni maneno ya mkosaji!!WakiwaYanga hawajachoka wakija simba ni wazee. You are irrational
Huyo aliyesema hivyo ni wamatopeni mwenzio lkn yeye amekuzidi ufahamuWakiwaYanga hawajachoka wakija simba ni wazee. You are irrational
Mkuu, ni kama ya Tambwe. Alikuwa kijana akiwa Simba. Ghafla akazeeka akiwa Yanga!WakiwaYanga hawajachoka wakija simba ni wazee. You are irrational
It can be even 10 years to come.....if that is a case.Anytime from now
Usiwaamshe walio lala. Wanazani kila mchezaji anaye toka yanga anakuja na ubingwa.Hivi kweli tunaweza kuifufua simba kwa kununua wachezaji wazee waliochoka kutoka Yanga ?
Ndio zilikuwa swaga zao hizo huku wakidai Yanga tunasajili wazee! Nashangaa sasa hivi wanawasajili hao waliowaita madingi kwa mamilioni! Simba ni mambumbu daima!Mkuu kwani smba walikuwa na sera ya kusajili wavulana tu?
Mambumbumbu kusajili wachezaji mnaofanya nao mazungumzo kuwaomba waongeze mikataba?Ndio zilikuwa swaga zao hizo huku wakidai Yanga tunasajili wazee! Nashangaa sasa hivi wanawasajili hao waliowaita madingi kwa mamilioni! Simba ni mambumbu daima!
Tatizo nyie mliwaponda kuwa ni wazee walipokuwa Yanga lakini sasa ndio hao hao mnaowasajili kwa mamilioni! Hiyo ni sehemu mojawapo ya umbumbu wenu!Mambumbumbu kusajili wachezaji mnaofanya nao mazungumzo kuwaomba waongeze mikataba?
Mi sijui 'in my child's voice'.Hivi kweli tunaweza kuifufua simba kwa kununua wachezaji wazee waliochoka kutoka Yanga ?
Bora aichukue, Sie tunataka raha kama mashabiki. Wanaotaka kuishi kwa kutegemea club ile kwao.Mo anainunua simba kilainii hapo mnazidisha madeni tu hadi msimu ukiisha mtakuwa mshatumia 10b zinabaki 10b akimalizia anaichukua simba.
HayakuhusuMo anainunua simba kilainii hapo mnazidisha madeni tu hadi msimu ukiisha mtakuwa mshatumia 10b zinabaki 10b akimalizia anaichukua simba.
Safari hii hiyo kampa kampa tena mtaisikia hewani.Hata mumchukue na kamusoko ubingwa mtausikia redioni tu. Wazee wa kampa kampa tena wanawachora mjue ni vijisenti vyenu vya ngama