Recent content by Baruan

  1. B

    St. Joseph Collage Of Engineering

    nimechaguliwa education. vipi nikitaka kubadilisha course
  2. B

    Kufa na kupotea kwa CCM katika wilaya ya Ngara, mkoa wa Kagera...

    Najiuliza tu Ngara unayosema ni hii ambayo ipo Kagera au n Ngaramtoni iliyko ...... sihitaji majibu kwa sasa willy asante kwa ngonjera zako za uongo naamin hyo ni moja ya njia za kuwafariji mabosi wako labda na wewe umege japo kidogo pesa za ruzuku na michango ya wanachama kwanini useme uongo...
  3. B

    Diwani CCM ampiga raia aliyeporwa shamba na kuwa stendi huko Ngara

    Nilijua najadilia na mtu timamu kumbe nimekosea kabisa aisee samahani bwan mi najua wavuta bangi mnavokuwa na mambo ya ajabu usije kunirarua bure
  4. B

    Diwani CCM ampiga raia aliyeporwa shamba na kuwa stendi huko Ngara

    Nilijaribu kujibu kadri ya ufahamu wangu mimi n mwananchi wa kawaida Hivi mpuuzi n mtu anaeshuhudia asichokijua au yule anejaribu kuweka usawa ili suala liangaliwa kwa mapana yake Nicholas jitazame sana sio kila mtu ana akili au busara finyu kam zako nimgekuona wa maana kama ungehitaji kujua...
  5. B

    Diwani CCM ampiga raia aliyeporwa shamba na kuwa stendi huko Ngara

    Jaman kabla ya kulaumu tuwe tunajaribu kuchunguza pande zote mimi kwetu ni Ngara na huyo jamaa anaelalamika namfahamu sana Anaitwa Ameer Rashid ni mtu ambae mimi naweza sema kama hajitumbui kama umemuangalia kwa makini anaonekana ni mzee sana lakini hwez amin kama hata miaka 40 hana(bangi na...
  6. B

    Kada mashuhuri wa CCM ajiunga CHADEMA

    kwa matusi hayo napata shaka kamanda utawafundisha nini wadogo zetu wanaoipenda CDM kwa ninavyofaham wanangara ni wastaarabu sana napata mashaka na asili yako. HIVI BILA MATUSI HUWEZI KUELEWEKA?
  7. B

    Kada mashuhuri wa CCM ajiunga CHADEMA

    ndugu yangu sasa nimeona hoja na maelezo yanayotakiwa kutolewa na mtu anaejitambua kaka mimi kwa kias fulani nazifahamu siasa za Ngara kwa kweli pale upinzani bado sana,,, nilichofanya sio kunadi mtu nilitaka maoni ya mpiga kura mwenzangu anamfahamu vipi mmoja wa watu tunaohisi watagombea hilo...
  8. B

    Kada mashuhuri wa CCM ajiunga CHADEMA

    Chiku nimependa neno lako la mwisho, limenifanya nikutambue wewe ni mtu wa aina gani, huyo ninaemuuliza tunatoka jimbo moja ninachotaka kujua ni maoni yake kuhusu huyo jamaa, kwangu kura yangu ni ya thamani sana siwezi kukupa eti kwa sababu umetoka chama fulani. Wapo baadhi wabunge wa ccm & cdm...
  9. B

    Kada mashuhuri wa CCM ajiunga CHADEMA

    aho ulavuze... japo Gashaza anaonekana kuwa na tamaa ya ubunge na anatapatapa sana. Unamuonaje MNEC.....ISSA SAMMA?
  10. B

    Kada mashuhuri wa CCM ajiunga CHADEMA

    kinachowaumiza wengi huwa wanaamini uongo kwa sababu wanahisi unaweza kuwa ukweli. pole Tanzania
  11. B

    Kada mashuhuri wa CCM ajiunga CHADEMA

    Rugatensa unasema Bujari anaipenda Ngara? kweli tumepoteza uwezo wa kuona mbali kama sio kwamba tunatoa hoja kwa sababu ya matumbo yetu... u
  12. B

    Kada mashuhuri wa CCM ajiunga CHADEMA

    safi sana.. angalia post yangu hapo juu
  13. B

    Kada mashuhuri wa CCM ajiunga CHADEMA

    mimi sio mwanachama wa CCM ila nalaan na kupinga wanaomuita Dkt Bujari kada wa CCM. na ntaweka sababu 1) huyu jamaa ameanza kufahamika kwenye siasa za Ngara baada ya kutangaza nia ya kugombea ubunge hiyo inaleta picha kwamba alichofuata CCCM ni UBUNGE tu nashukuru watu wa Ngara tulimuelewa 2)...
  14. B

    Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

    hayo yametoka wapi? au kiroba"KIMEKUVURUGA"
  15. B

    Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

    Mzeee,,, una busara sana
Back
Top Bottom