Onenge
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 212
- 139
Akabidhiwe kwenye uongozi wa Jimbo kwa uchunguzi haraka, nina imani kubwa sana na uongozi wa chini wa Chama kuliko makao makuu, makao makuu kumekuwa na bureaucracy ndefu sana katika kuwachukulia wanachama wajinga wajinga hatua za kinidhamu.
Hapa umesema ukweli mkuu,makao makuu wanajivuta sana kutoa maamuzi.