murugalama
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 231
- 81
Huyu Dr Bujari tumwangalie kwanza ametafuta ubunge kupitia CCM akapigwa chini na kiukweli kupitia ccm hawezi kupata ubunge anachofanya saiv ni kama Gashaza alizunguka badae akaona kuludi ccm mbali nakwamba ni mtu anaependwa sana Ngara binafsi namkubali sasa Dr Bujali ajiandae kupambana na Dr Sebuyoya ila tatzo la wilaya ya Ngara Bado sana watu wengine ukienda Busubi wanajua nyerere ndo raisi
Kwa Ngara sitarajii mabadiliko Km waliacha kumpa kura Sammy Ruhuza ni nani mwingine mwenye ubavu wa kupenya.