Kada mashuhuri wa CCM ajiunga CHADEMA

Kada mashuhuri wa CCM ajiunga CHADEMA

Huyu Dr Bujari tumwangalie kwanza ametafuta ubunge kupitia CCM akapigwa chini na kiukweli kupitia ccm hawezi kupata ubunge anachofanya saiv ni kama Gashaza alizunguka badae akaona kuludi ccm mbali nakwamba ni mtu anaependwa sana Ngara binafsi namkubali sasa Dr Bujali ajiandae kupambana na Dr Sebuyoya ila tatzo la wilaya ya Ngara Bado sana watu wengine ukienda Busubi wanajua nyerere ndo raisi
Rugatensa unasema Bujari anaipenda Ngara? kweli tumepoteza uwezo wa kuona mbali kama sio kwamba tunatoa hoja kwa sababu ya matumbo yetu... u
 
Katika vikao vya ndani vya kanda Kamanda Mbowe amekuwa akisisitiza kupokea watu wa vyama vingine maana kuimarika kwa Chadema ni kudhoofika kwa vyama vingine!

Hakuna wa kuua chama hiki kama watu wanavyodhani, ukiingia Chadema utafuata misingi ya chama. Kama mtu anakuja kufuata vyeo atakuta utaratibu wa kuvitafuta. Tusiwafungie watu milango, Chadema ni kimbilio la watanzania walio wengi!
 
Rugatensa unasema Bujari anaipenda Ngara? kweli tumepoteza uwezo wa kuona mbali kama sio kwamba tunatoa hoja kwa sababu ya matumbo yetu... u
Soma vzr bw Baruan nimesema namkubali bw Gashaza cyo Dr Bujari uyo najua anatafuta ubunge tu hakuna kingine na hawezi kuupata kwa tiketi ya chama chochote.wameshindwa akina Ruhuza yeye ndo ataweza.
 
Soma vzr bw Baruan nimesema namkubali bw Gashaza cyo Dr Bujari uyo najua anatafuta ubunge tu hakuna kingine na hawezi kuupata kwa tiketi ya chama chochote.wameshindwa akina Ruhuza yeye ndo ataweza.

aho ulavuze... japo Gashaza anaonekana kuwa na tamaa ya ubunge na anatapatapa sana. Unamuonaje MNEC.....ISSA SAMMA?
 
Huyu jamaa ni kimeo vibaya mno! Namfahamu sana, anaishi kigamboni. Alisababisha mgawanyiko kwenye kanisa la Efatha kigamboni, na baada ya hapo akaenda kuanzisha kanisa lake. Hivi sasa yeye ndio mchungaji kiongozi wa hiyo kanisa la kiroho. Aliwahi fanya attempt ya kugombea ubunge mwaka 2010 kwa ticket ya CCM akabigwa chini nadhani kwenye hatua za mwanzo.
Hata akili yake nadhani haijakaa sawa, kama hamuamini CHADEMA mpeni madaraka muone atakavyowapa muziki hadi mseme afadhali ya Zitto.
Jamaa ana kovu kwenye paji la uso ambalo lisjui chanzo chake ni nini, ila nadhani ni sababu ya akili yake kwenda race sometimes.
Kada wa CCM jimbo la Ngara, Dr Peter Bujari ametangaza uamuzi wa kujitoa CCM na kujiunga na CHADEMA hivi punde.

Amewaambia wanahabari kuwa CCM imeshindwa kuondoa kero mbalimbali.

Pia amesema amejiunga na CHADEMA kutokana na sera na Uongozi thabiti. na usioyumba wa Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dr Wilbroad Slaa.

Source:Mwananchi Breaking News.
 
Afadhali kama mmeona hilo! Ni mpenda vyeo tu, ndo maana alisambaratisha kanisa la efatha kigamboni na kwenda kuanzisha lake ni vipesa vyake vya NGO.
Soma vzr bw Baruan nimesema namkubali bw Gashaza cyo Dr Bujari uyo najua anatafuta ubunge tu hakuna kingine na hawezi kuupata kwa tiketi ya chama chochote.wameshindwa akina Ruhuza yeye ndo ataweza.
 
Ingekuwa ni sera zingine si angejiunga muda mrefu uliopita maana zilikuwepo toka 2010,kilicho kipya kwa mwezi huu ni hiki cha gongo,ndio maana nashawishika kuwa labda anaposema sera anamaanisha "gongo".

Tatizo nyie watoto wa Lumumba ni jazba.
 
aho ulavuze... japo Gashaza anaonekana kuwa na tamaa ya ubunge na anatapatapa sana. Unamuonaje MNEC.....ISSA SAMMA?

Khaa mi nimedhani kwa kuwa wewe umeinasibu kama mtu huru kujadili hoja nikajua unajadili ubora wa mtu kumbe unajua unachotetea sasa Mnec katokea wapi sasa....maccm bwana kumbe huna lolote ni kutapatapa tu...Idiot
 
Poa karibu usije kuwa umetumwa

Sasa hivi tunakautaratibu kazuri ukija mgeni Cdm tunaanza kukuscan maisha yako yote kama tunavyofanyiana scanning sisi wenyewe amuulize zzk, washirika wake. Kauli mbiu cdm ni ile kama ya FBI wa marekani kwamba " ...always FBI investigates FBI..." yaani upo kazini kumchunguza hata ditactive mwenzake pasipo yeye kujua naye anakuchunguza pasipo ww kujua. Hiyo ndio CDM.
 
Hawa viongozi wa ccm wanaohamia chadema inatakiwa wapewe probation period ya angalau 5yrs.la sivyo chadema itageuka kuwa ccm.
 
mimi sio mwanachama wa CCM ila nalaan na kupinga wanaomuita Dkt Bujari kada wa CCM. na ntaweka sababu
1) huyu jamaa ameanza kufahamika kwenye siasa za Ngara baada ya kutangaza nia ya kugombea ubunge hiyo inaleta picha kwamba alichofuata CCCM ni UBUNGE tu nashukuru watu wa Ngara tulimuelewa
2) chaguzi za ndan ya chama jamaa hajawahi kuchangia chochote na uchaguzi uliopita jamaa alipoombwa mchango alitoa maneno ya kejeli
3) ni mkabila, jamaa alianzisha DIVIDE AND RULE kwa kutaka kutugawa wana Ngara. Hapa Mkazi wa Ngara ataelewa tofauti kdogo iliyopo baina ya Bugufi na Bushubi jamaa alieendeleza kampeni za tumchague WAKWETU
4) baada tu yakupigwa chini kwenye uchaguzi wa ndani ya chama magari yake yalianza kupeperusha bendera za CHADEMA nalazimka kuamini hata huko ndicho anachofuata
kwa taarifa zaid nasikia amekuwa mchungaji na anampango wa kuanzisha kanisa lake pale Rulenge,
Kweli CDM mmepata jembe
cdm isidharau bandiko hili!
 
aho ulavuze... japo Gashaza anaonekana kuwa na tamaa ya ubunge na anatapatapa sana. Unamuonaje MNEC.....ISSA SAMMA?

Kumbe huna lolote Povu lote ulilotoa na kwa sababu ya kutetea Gamba Mwenzio.
 
Khaa mi nimedhani kwa kuwa wewe umeinasibu kama mtu huru kujadili hoja nikajua unajadili ubora wa mtu kumbe unajua unachotetea sasa Mnec katokea wapi sasa....maccm bwana kumbe huna lolote ni kutapatapa tu...Idiot

Chiku nimependa neno lako la mwisho, limenifanya nikutambue wewe ni mtu wa aina gani, huyo ninaemuuliza tunatoka jimbo moja ninachotaka kujua ni maoni yake kuhusu huyo jamaa, kwangu kura yangu ni ya thamani sana siwezi kukupa eti kwa sababu umetoka chama fulani. Wapo baadhi wabunge wa ccm & cdm ambao wanachapa kazi na wanakubalika majimboni mwao na pia wapo ambao hawasaidii chochote . Naamini katika uzalendo na uchapakazi. Usinilazimishe kuwa upande wako
 
Back
Top Bottom