- Thread starter
- #101
utapata mkopo kwa asilimia kadhaa.
ata 100% We Subiri
utapata mkopo kwa asilimia kadhaa.
Kwa uandishi huu utaliwa kichwa semester ya 1
Mkuu usiogope we njoo upige kitabu,Pepa kwa wingi,asighnment kwa wingi saana mpaka unachukia.Halafu mwaka wa kwanza engineering wote mnasoma vitu vinavyofanana so usiogope hii ni course nzuri lakini ombeni mpangiwe lecturer wazuri.Mimi mwenyewe napiga Mechanical eng but kiukwel chuo kwa hii course hakijajipanga vizuri maana hii course semister ijayo ndio watu wanaingia mwaka wa tatu.Lakini ukifka chuoni unaruhusiwa kufanya transfar kwenda course unayoitaka.Lakini mimi naipenda sana hii course sana na mapind wanapiga sana tatzo ni kuwa chuo hakina mashine za kutosha zakufanyia practical ukilinganisha na course zingine.Lakini walindai wataleta mashine nyingi sana semister hii inaanza na nyie.
karibuni chuoni wakuu
Umechaguaje course ambayo hujaifanyia utafiti na kujua ikoje?.Ajira course yeyote ile inapatikana kulingana na umakini wako na uweredi katika course husika.Wadau electronics and communications engineering ikoje apo na ajira zake vp
Education kwenda kwenye course nyingine kwa st joseph sidhani kama inawezekana.Labda utoke course nyingine uende education.nimechaguliwa education.vipi nikitaka kubadilisha course
Mia huwezi kupata.Ukipata saana haitozidi laki tano na nusu.ata 100% We Subiri
Mkuu vipi mbona kimya karibu Mechanical na wala sikushaur uhame hii course maana usifikilie kwa sasa.Angalia utakapokuja kuhitimu miaka minne ijayo eng Mech watakuwa wanahitajika kwa kiasi gani.Lakini ujue hii course unapiga msuli kinoma na ndio course yenye watu wachache chuoni ukilinganisha na course nyingine.Naomba niku Pm mkuu
Mia huwezi kupata.Ukipata saana haitozidi laki tano na nusu.
Mkuu ni kweli kama huna uhakika wa ada St joseph sio chuo rafiki kwako.Lakini hiki chuo wanafundisha kinoma pia discpline ya hali ya juu inahitajika sana.Dah Nmegundua Kua Vyuo Vya Private Havifai Kwa Watu Wenye Kipato Kidogo...Mungu Anisaidie Nifanikishe Transfer...Hcho Chuo Ktanitesa Sana Kwa Hyo Ada Mkuu
Mia huwezi kupata.Ukipata saana haitozidi laki tano na nusu.
Mkuu ni kweli kama huna uhakika wa ada St joseph sio chuo rafiki kwako.Lakini hiki chuo wanafundisha kinoma pia discpline ya hali ya juu inahitajika sana.
O-lvl private, A-lvl gvmnt, nmechaguliwa electroncs and communications engineering vipi apo mkopo ntapata kama asilimia ngap hv
[QUaOTE=tzbway;14188108]Wale tuliochagulia collage of engineering na sie tukutane apa tujuzane mawili matatu. kabla ya tarehe ya registration