Recent content by BARON99

  1. BARON99

    PostGE2025 Kumbe alifeli form 4, Kiswahili tu ndio alipata D

    Ile speech yake inanichefua sanaaa "...... Na Si mnajua sisi wasukuma tunavopenda rangi nyeupe?".... Shiiiiit kabisa Matokeo yake ameleta zahma kwa vizazi na vizazi!!!
  2. BARON99

    PostGE2025 Mwisho wa Samia na utawala wake utakuwa mbaya sana

    Tatizo ni ELIMU mkuu watu wengi ni Ignorant kabisa kabisa. Na hata wale wasomi wachache njaa imewabadilisha kabisa. Kwahiyo hapo hakuna ujanja ni kuanza upya tu.
  3. BARON99

    Barua ya mapenzi ya Iddi Amini dada kwenda kwa Queen Elizabeth II

    Aisee Huyu jamaa hizi negativity zingine nahisi kama alikuwa anazushiwa tu. Mbona positivity zake hazikuwa zinasemwa kabisa wakati uki check youtube mwamba alikuwa na Big Brain sana!!?
  4. BARON99

    PostGE2025 Kumbe alifeli form 4, Kiswahili tu ndio alipata D

    Huwa nikifikiria naishia kumlaumu sana Mwenda zake (Mungu Anisamehe kwa hili) nahisi kama yeye ndio root causer wa haya yote kwa kutuletea hili Janga ambalo hata mtoto mdogo tu angeweza ku notice na kulikataa mapema, Dah.... Kwa kweli tuna safari ndefu sana nchi yangu Tanzania 😢😢.
  5. BARON99

    Tetesi: Ulinzi mkali wa polisi umewekwa kwenye makaburi ya kondo huku macho ya watanzania na dunia yapo pale

    Laiti kama wangekuwa na Juhudi kwenye maendeleo na ku manage rasilimali za nchi kama walivyo na Juhudi kwenye Upumbavu na Uzwazwa basi na HAKIKA nchi ingekuwa mbali
  6. BARON99

    Naenda kufa Desemba 9, hakuna haja ya kuendelea kuishi tena

    Umeandika Kijasiri sana mkuu. Nakuombea Uvuke siku hiyo ili tukutane hapa kusimulia ushuhuda. Don't rule out the fate while it's isn't over yet!
  7. BARON99

    PostGE2025 Kwa ushahidi wa videos mbalimbali juu ya ukatili wa polisi dhidi ya wananchi Oct 29-31, Naona kisasi kinakuja muda si mrefu

    Sometimes it's painful to imagine what is the result but What is the Solution?? It is to Face the reality.
  8. BARON99

    I need english speaking friend(s) as part of my preparation for IELTS

    Congratulations bro you made it. Please can you share how much is the fee so others who wish to pursue there can figure it out!
Back
Top Bottom