Ile speech yake inanichefua sanaaa "...... Na Si mnajua sisi wasukuma tunavopenda rangi nyeupe?".... Shiiiiit kabisa Matokeo yake ameleta zahma kwa vizazi na vizazi!!!
Tatizo ni ELIMU mkuu watu wengi ni Ignorant kabisa kabisa. Na hata wale wasomi wachache njaa imewabadilisha kabisa. Kwahiyo hapo hakuna ujanja ni kuanza upya tu.
Aisee Huyu jamaa hizi negativity zingine nahisi kama alikuwa anazushiwa tu. Mbona positivity zake hazikuwa zinasemwa kabisa wakati uki check youtube mwamba alikuwa na Big Brain sana!!?
Huwa nikifikiria naishia kumlaumu sana Mwenda zake (Mungu Anisamehe kwa hili) nahisi kama yeye ndio root causer wa haya yote kwa kutuletea hili Janga ambalo hata mtoto mdogo tu angeweza ku notice na kulikataa mapema, Dah....
Kwa kweli tuna safari ndefu sana nchi yangu Tanzania 😢😢.
Laiti kama wangekuwa na Juhudi kwenye maendeleo na ku manage rasilimali za nchi kama walivyo na Juhudi kwenye Upumbavu na Uzwazwa basi na HAKIKA nchi ingekuwa mbali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.