Recent content by Bariki Ileta

  1. B

    Kwanini Serikali hairekebishii mishahara watumishi waliopandishwa madaraja toka 2015/16 kisha Aprili 2018?

    Kilichokuwa kinasubiriwa ni kustabilize uchumi kwanza kabla ya kuongeza kiwango cha mshahara ili hata kidogo kilichopo kiwe na maana kwanza kabla ya kuongezewa
  2. B

    Watumishi wa Serikali na siasa za mishahara

    Think positively.....kusema watumishi sio wazalishaji....unadhan nan anabuni kodi na kuongeza pamoja na kukusanya mapato ya serikali.. Nani anabuni vyanzo vya mapato na kusimamia sheria.... Watumishi wa umma wana mchango mkubwa sana katika Taifa hili
  3. B

    Msukuma: Miswada mitatu ya dharura kama huna akili hata wakikupa siku 10 hutaweza ijadili

    Kwa nini tusijadili yaliyopo katika miswada husika?
  4. B

    Ujasiri, pia namna ya kumkimbia Tembo ukikutana naye popote pale endapo atakufukuza

    Unatakiwa uangalie uelekeo Wa upepo ndio unaweza pishana na tembo kama ngombe..... Usijidanganye kukimbia tembo ana kazi zaidi ya Usain Bolt
  5. B

    Nimejenga nyumba katika eneo ambalo halijapimwa, je naweza kupata hati ya nyumba?

    Hati ya Nyumba haitolewi katika maeneo ambayo hayajapimwa!!!! Kinachotolewa katika maeneo kama hayo ni leseni za makazi(residential licence) Pia kama eneo lipo ndani ya Mji shauriana na majirani zako ili mpimiwe kupitia upimaji shirikishi gharama inashuka kidogo....
  6. B

    Kumbe Acacia hata licence hawana,sasa mahakama gani ya dunia itasikiliza hawa wahuni?

    Let's pray for our beloved president he is doing the best
  7. B

    Naombeni ushauri wa kisheria juu ya hichi kiwanja ili kiuzike

    Waende ofisi ya ardhi ya sehemu husika ili afisa ardhi aweze kupitia jalada la kiwanja husika na kucertify hiyo nakala ya hati kuwa ni original......
  8. B

    Utaratibu na gharama za kupata hatimiliki ya nyumba/kiwanja

    Kwanza kuna aina mbili za hati.. 1.hati ya kawaida 2.hati ya kimila Hati ya kawaida inatolewa katika eneo ambalo lina mchoro Wa mipangomiji..na limepimwa na kupatiwa namba za viwanja.... Kwa mujibu Wa sheria za ardhi mwenye mamlaka ya umilikishaji ni afisa ardhi Mteule..... Utaratibu ni...
  9. B

    Kutoka Mahakamani: Mbunge wa Arusha Godbless Lema apata dhamana

    Haina budi kutii mamlaka iliyo kuu
  10. B

    Mti mrefu Afrika wagunduliwa katika mlima Kilimanjaro nchini Tanzania

    Haina budi kutangaza maajabu kama haya.... Maana kutokana na uharibifu wa Misitu ni ngumu sana kwa nyakati za sasa kupata miti mirefu kama hayo...Hongera kwa waliohusika kuhifadhi... Nawatakia weekend njema
  11. B

    Nchi zinazoongoza Kuangalia Video za Pilau za Mtandaoni

    Watanzania hawana muda huo wa kushinda wanaangalia porn
  12. B

    Freeman Mbowe, jabali la siasa za Tanzania lisilotikisika

    Sijaona point ya msingi hapo
  13. B

    Swali la criminal procedure ilo ?

    Assignment!ungemalizia discuss
  14. B

    Mbunge wa Kilombero(CHADEMA) Mh. Lijualikali, afungwa jela miezi sita

    Hatapoteza ubunge wake..angepoteza endapo kifungo ambacho angefungwa kingezidi miezi sita
Back
Top Bottom