kijanamdogo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 231
- 176
WAZIRI wa Utumishi hebu waambie Watanzania sababu zinazoifanya Serikali yetu ishindwe kuwarekebishia mishahara WATUMISHI waliopandishwa MADARAJA mwaka2015/16 baadae ikarekebisha barua za na kuwa Novemba2017 kisha imesema ni April 2018.