Wana Jf,
Nafanya collection ya stempu za posta na za TRA, stempu hizo nahitaji picha zilizopo kama za ndege, wanyama... nazikusanya kwa ajili ya kumbu kumbu, stempu hizo lazima ziwe za kuanzia miaka ya 1965-1998 isizidi miaka iyo na inaweza ikawa ya kabla ya 1965. ukinipa stempu 3 za miaka...
Acheni kelele ni wajibu wa mwanaume kuonyesha kuwa inapofika sikukuu lazima awe responsible mnakimbia nini, ndo maana huwa mnadharauliwa halafu mnahisi hampendwi, show off
Wana JF nimegundua kuwa serikali ilishtuka kuwa sio rahisi TRA kukusanya Road Licence kwenye magari yote yaliomo nchini maana wengine ni wadaiwa sugu na wakwepaji wa miaka hivyo kuamua kuiingiza kwenye mafuta, hii ina siri kubwa sana ambayo lazima tufikirie swala hili na tujiulize, endapo...
Wana jf,
Nataka nihudumie wenye dharura anayehitaji sh. 50,000 hadi sh 500,000 a pm, mkopo huu utauridisha ndani ya wiki 12 kwa riba ya 6% ila dhamana iwe na thamani ya kitu mara 4 ya mkopo
Karibuni
Wana JF,
Hakuna maamuzi ambayo Waziri wa Nishati na Madini alikuwa anayachukua mwenyewe bila ya kuambiwa afanye au kusukunwa afanye hivyo, hili ni doa kwake kwa wale ambao wameajiriwa na private sector wanajua uchungu wa kuachishwa kazi kwa tuhuma, ni doa na hatapata uwaziri wala kazi ya maana...
Wana Jf, Ofisi ya waziri Mh Janister Mhagama imetumia zaidi ya 200% kwenye budget bila ya kuiomba bunge imuhidhinishie, je kamati za bunge zina walenga watu flani kwa kuwaita kwa mahojiano kwa kuidharau mhimili au ni swala la kubebana au kamati hizo hazina meno kwa chama tawala.
Swala hili na...
Wana jf sikatai serikali kuhamasisha wananchi kuchangia maendeleo yao katika sekta tajwa, ila naona kama habari inayohusu ukusanyaji mapato na kupita kiwango si sahihi maana serikali ni kama inahitaji wananchi kuchangia kwa sehem kubwa, au kutategeshewa ajali ili zipatikane pesa za rambirambi...
Passport inapoisha muda wake, au ukipoteza pasaport alama za vidole ni lazima zichukuliwe kila uendapo kuomba mpya, ku renew au kutaka upewe nyingine baada ya kupoteza, huu ni utaratibu wa serikali haukwepeki hadi hapo watakapo ona kuna haja ya kusitisha kuchukuliwa alama za vidole, hatuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.