JITU LA MIRABA MINNE
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 726
- 471
Karibuni kwa taarifa njema nielekeze tu nichome lita fasta
mzuka ila sitaki ya magendoJaribu kubonga na wale madereva wa magari ya tours labda
poa mkuu..jaribu njia nyinginemzuka ila sitaki ya magendo
imewinwa kwa kibali sio magendoMkuu fafanua hiyo halali una maana gani?
Halali kwa mtazamo wa kidini wasabato/waislamu n.k?
Au halali kwa utaratibu wa sheria ya nchi, yaani hata Tembo, Mbweha na fisi we
unakula tu?
Panaitwa TAWICO nyuma ya Safari hotelNenda clock towers kuna maduka yapo barabara Ya kwenda ATC au Precison Air au Crdb ulizia hapo watakuelekeza
Makange ya faru!!!Unatafuta kufungwa wewe..kama hukula nyamapori enzi za jk sahau...enzi zile kulikua na hadi mchemsho wa tembo
Nenda sehemu inaitwa Picnic,Shivaz,Mrina,Sky Lounge,Clock Tower ama mitaa ya Florida utapata kitu fresh kabisa tena na huu mwezi wa ramadhan daaaaaah!!mimate mwaaaaaa yanidondoka mieKaribuni kwa taarifa njema nielekeze tu nichome lita fasta
Unajua hicho Tu basi,Arusha hawana sehemu za kutembelea aisee... Ukiwauliza wanakuambia milestone bhaaassss.....
Mrina kila kitu kinapatikana....!!!!Nenda sehemu inaitwa Picnic,Shivaz,Mrina,Sky Lounge,Clock Tower ama mitaa ya Florida utapata kitu fresh kabisa tena na huu mwezi wa ramadhan daaaaaah!!mimate mwaaaaaa yanidondoka mie