Recent content by Baraka2022

  1. B

    JamiiForums Tanzania YAS Postpaid Bundle

    Mkuu.! Tangazo lako ni zuri ila hapo mwisho umekosea ulipaswa kuweka namba ya Yas na si vodacom.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Hongera sana NMB Bank kwa kuthamini utu, hakika ninyi ni bank bora kila Mtanzania ni shuhuda wa maneno haya, mnasifika kwa kuepuka dhuluma

    Bro.! Usisifie sana ,"samaki wana mengi yakusema ila mdomoni wana maji " FidQ.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Prof Ngongo sasa ni Platinum Member

    Kongole.!
  4. B

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa Android Masada tafadhali

    https://us.community.samsung.com/t5/Galaxy-S24/How-do-I-stop-showing-both-Messaging-apps-and-just-have-the/td-p/2802956
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kamanda Mkuu wa HAMAS, Haythem Balidi pamoja na wasaidizi wanne wameuawa kwa shambulizi la kombora la ndege za IDF

    Duh.! Si wangesubiri arobaini ipite wamdungue mwingine
  6. B

    JamiiForums Tanzania Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

    Get well soon Mr.Trump
  7. B

    JamiiForums Tanzania Nawatakia Eid Al Adh'ha njema

    Na kwako pia Mheshimiwa.
  8. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watutsi wa Congo wasichukuliwe kama Wamasai, Wakurya au makabila mengine ambayo yako mipakani?

    Mii nahisi baadhi ya watutsi wana imani wao ndio wamiliki wa njia kuu za uchumi kwenye haya mataifa ya afrika mashariki, kwa mtazamo wao huo lazima wakumbane na hayo matatizo na hawawezi kukubalika,chuki zitaendelea mwishowe ni vita juu ya vita.
  9. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Trafiki watatu wakamatwa wakipokea rushwa, mmoja atoroka

    Duh.! Mlungula umepelekea maafisa usalama kurushiana risasi za moto.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Adobe zinagoma ku-Install kwenye LAptop

    Jaribu kwanza kuUpgrade hio Windows 10,then install adobe itakubali
Back
Top Bottom