labda nimuulize mtoa mada TZ kuna mwanafunzi anamaliza kidato cha nne na miaka 24/26 kwenye mfumo wakawaida au?hivyo vitu vipo sana na ni ushetani wa mtu binafsi toka enzi za sodoma na gomora.
tunatakiwa kumwogopa Muumba!dah inauma sana.
Hiyo kiyu inawezakana tena sana mdau maana bank charges zingine zinakuwepo except riba kwa mikopo,kizuri ni kuwa sheria na taratibu nyingine za kibank zinafuatwa!
Hao ndo wale ambao hata haki za mashoga wanazitaka kwssbu UK imeendelea!achana na ug n ke angalia situ ya tz na matatizo yetu then ndo uandike huo mlingano wako....sio lazima kila ktu tuige vingine waige kwetu wanajamvii.
Taratibu!angalia tuu usije jiua/ua,chakufanya ni kukaa kupima watoto wote halafu unakaa naye unamuuliza taratibu uone maono yake kwa alilotenda mwisho itakuwa rahisi kuamua umwache au ubebe zigo lako,kuacha sio soln ila pia kuishi naye inataka roho ya chuma au imani na yeye ajitambue....kazi...
Wewe mtu mzimz tena msomi wa Chuo Kikuu hatutegemei kama hujui wat next ukitembea na huyo mama....achana haye piga skul young boob isje ikala kwako banah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.