hii ya kuipeleka wodi ya vichaa sio hapa jamvini
hii ya kuipeleka wodi ya vichaa sio hapa jamvini
Kukata GoGo mbele ya mke wangu.
Wife wangu hana shida kabisa anaweza kukata GoGo mbele yangu, Labda mi nipo bafuni au napiga mswaki yeye hana shida anakata GoGo lake mi nampita hapo hata hafungagi mlango.
Tatizo mi hajawahi kuniona hata siku moja tangu tufunge ndoa miaka 6 iliyopita, na amekuwa akiniuliza kwanini namuonea aibu, mwanzoni nilidhani utani lakini sasa ameshikilia bango kwanini namuogopa au sijiamini kukata GoGo mbele yake. Sasa jamani mi siwezi kabisa nahisi kama GoGo halitatoka, yani mtu unakata GoGo halafu mtu akuangalie mi siwezi. Imenibidi niwe nabadilisha ratiba niwe nakata GoGo ofisini ili asinishike, lakini najua ipo siku nitazidiwa nikiwa home, nimekuwa nikimkwepakwepa kiutani lakini namuona mwenzangu yupo serious, ameshanipa na maneno kwamba siku nikiumwa nani atanitawaza kama sio yeye, na madongo mengine kibao ambayo naona yana ukweli. Lakini Jamani siwezi, sina confo kabisa.
sioni namna ya kutoka hapa. Vipi we unaweza kukata GoGo mbele ya mkeo/mumeo!!!.
duu me sijaoa bado naomba niwe mtazamaji
Kukata GoGo mbele ya mke wangu.
Wife wangu hana shida kabisa anaweza kukata GoGo mbele yangu, Labda mi nipo bafuni au napiga mswaki yeye hana shida anakata GoGo lake mi nampita hapo hata hafungagi mlango.
Tatizo mi hajawahi kuniona hata siku moja tangu tufunge ndoa miaka 6 iliyopita, na amekuwa akiniuliza kwanini namuonea aibu, mwanzoni nilidhani utani lakini sasa ameshikilia bango kwanini namuogopa au sijiamini kukata GoGo mbele yake. Sasa jamani mi siwezi kabisa nahisi kama GoGo halitatoka, yani mtu unakata GoGo halafu mtu akuangalie mi siwezi. Imenibidi niwe nabadilisha ratiba niwe nakata GoGo ofisini ili asinishike, lakini najua ipo siku nitazidiwa nikiwa home, nimekuwa nikimkwepakwepa kiutani lakini namuona mwenzangu yupo serious, ameshanipa na maneno kwamba siku nikiumwa nani atanitawaza kama sio yeye, na madongo mengine kibao ambayo naona yana ukweli. Lakini Jamani siwezi, sina confo kabisa.
sioni namna ya kutoka hapa. Vipi we unaweza kukata GoGo mbele ya mkeo/mumeo!!!.
hahahahahahhah.... aiseee kazi ipo
kuna mambo mengine mara nyingi ni privy kati ya mme na mke........inategemea mmezoeshana ka kiasi gani.......mi mara nyingi naona wanawake ndio wenye aibu zaidi juu ya hii mambo kuliko wanaume........hii kitu ya kunya pamoja.......pia inaendana sana na mambo mengine ambayo ni privy sana..(haswa kwa manzi) mfano......kunyoa mavuzi pamoja(nani amewahi kumwona demu wake au wife akinyoa mavuzi au kwapa???), au kujamba (nani amewahi kumsikia demu au wife wake akijamba kwa nguvu buuuuuuu mbele yake??).......hii mambo yote ina husiana sana na privy sana (haswa kwa mademu)>...........