Recent content by baraka luoga

  1. B

    Wizara ya Afya yasambaza vifaa kinga ili kukabiliana na janga la Coronavirus

    Daaa mbona vifaaa ni vichache sana wakati disposable gown mtu anavaa 45mins anatupa then eti mmetoa 50 kweli bado fungu lilitolewa alijatumika vizur .
  2. B

    Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

    Naomba kuuliza kama we ni tabibu na unataka kuanzisha pharmacy kuna haja ya kuingia mkataba na mfamasia ambae atakua ana angalia duka lako.
  3. B

    Waziri Kangi Lugola: Nikifa nizikwe na ilani ya CCM

    Mawaziri wa ndani kuvaa nguo zenye alama za pendera ya tz ni lazima au kuvaa suti na tai ya Bendera ya tz hapo inakuaje
  4. B

    Rais Magufuli afanya mabadiliko madogo katika baraza la Mawaziri: Waziri Mwigulu atemwa, Lugola aula. Mbarawa ahamishwa

    Akaamishe vitu vyake kwenye Nyumba za mawaziri (alikuga kanisa) MTU atakae gusa kanisa awezi pona
  5. B

    Naweza kusoma clinical officer kwa alama hizi?

    naombeni kuuliza je ukikubakiwa chuo na nacte profile lako linabadilika na kama inabadilika linakuaje
  6. B

    Matokeo ya Kidato cha Nne

    samahnini waosoma clinical officer chuo ni lin
  7. B

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    CO c anatakia awe na c ya bioz na c ya chemistry na d ya phy je mi nina c ya bioz na d ya phy na chemistry je nitapata
  8. B

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    nina 3 ya 24 nataka soma aco nina bioz c chemistry d pyh d then je nikiunganisha ACO na CO je ni miaka mingapi
  9. B

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    jamni naomba kujua me nimemaliza kidato cha nne mwaka huu nina bioz c chemistry d na phy d nataka soma ACO then niunganishe CO je mtu akisoma ACO then ikitaka kuunganisha kusoma CO anasoma miaka hiyo mitatu au wanapunguzia miaka
  10. B

    Naweza kusoma Diploma ya Clinical officer kwa Alama hizi?

    mfumo wa kuapply unafunguliwa lini jamani nataka kusoma clinical officer then nina vigezo
  11. B

    Masharti mapya ya kozi za afya yatazamwe upya

    naomba kuuliza je kuna degree of clinical officer
Back
Top Bottom